Wapinzani Burundi wasusia mazungumzo yanaoyoendelea Arusha, wasema Mkapa hajawaalika

real G

JF-Expert Member
Feb 7, 2013
5,227
5,287
Kundi kuu la upinzani nchini Burundi wamesema wamegomea mazungumzo ya amani yaliyoanza Novemba 28 - Disemba 8 mjini Arusha

Hii inaacha matumaini hafifu kuwa mazungumzo hayo yatasuluhisha vurugu ambazo zimegharimu maisha ya mamia ya watu baada ya Rais Nkurunzinza kugombea mhula wa tatu mwaka 2015

Msemaji wa Kundi la upinzani linaloishi uhamishoni la CNARED, Pancrace Cimpaye amesema Rais mstaafu wa Tanzania Benjamin Mkapa hajawaalika badala yake amewateua watu watakaoshiriki kwenye mazungumzo hayo bila idhini yao



=========================================================
Burundi's main opposition grouping said it is boycotting peace talks that resumed on Tuesday in Tanzania.

This left little chance that the negotiations will end simmering political violence that has claimed hundreds of lives.

Burundi has been gripped by unrest since April 2015, when President Pierre Nkurunziza announced he would stand for a third term. The opposition said this violated the constitution as well as a 2005 peace deal that ended the civil war.

Nkurunziza won a vote largely boycotted by the opposition, but protests sparked a government crackdown that has killed more than 700 people, displaced over 400,000 to neighbouring countries and left the economy moribund.

The International Criminal Court is investigating whether pro-government forces committed war crimes including murder, torture and rape. Burundi, which has withdrawn from the court, is refusing to recognise the investigation.

Exiled opposition grouping CNARED said former Tanzanian president Benjamin Mkapa, who is facilitating the November 28 - December 8 round of talks in Arusha, had not invited them.
“We have always asked the facilitator to invite CNARED as an opposition bloc, but he has refused and rather decided to select some of our members who will take part to the dialogue without our consent,” said CNARED spokesman Pancrace Cimpaye.

At the end of October, Burundi’s cabinet adopted draft legislation seeking to change the current constitution to allow Nkurunziza to run for a fourth term in the 2020 election.

The proposed amendments, likely to go to a referendum by next year, seek to abolish the two-term limit and lengthen the presidential terms to seven years.

CNARED says amending the constitution will worsen the crisis.


Source: The Star Kenya
 
Huu Mfupa wa Burundi ulimshinda Kambarage na Mandela Sijui Kama Ben Mkapa na ile Mihasira yake ya Whisky Kama atauweza!
 
Mkapa nikiongozi habembelezi anatanguliza ukweli kwanza, wakigoma wanajichelewesha tu, wametawaliwa na ubinafsi na kiburi kisichokuwa na maana.
 
Back
Top Bottom