Melki the Storyteller
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 5,701
- 9,779
Nina shida ndugu zanguni. Nimepumzisha akili vya kutosha, nimepata wazo la kuoa. Ili moyo wangu usuuzike, unahitaji mwanamke bikra
Huku duniani hali ni dhofrihali! Mbususu zinachakatwa na kuchakarika kama hazina wamiliki, ama kana kwamba zimetelekezwa. Yaani hapa haitajalishi ni Uswazi ama Ushuwani. Tena Ushuwani watu wanageiana kama BigG, yaani hata ile wanaita Jenga Urafiki ni lazima wakulane, binamu yake akifaulu mitihani anapewa mbususu kama kipozeo, kwenye mabar huko Sinza hali ni tete, yaani inauzunisha sana kutizama
Huku Uswahilini hali ni mbaya sana, tena zaidi ya sana. Huku mpaka wanadiliki kupakaza dongo kumkichwa, Dah! Yaani huku haijalishi ni mchana jua kali ama ni usiku ambao Tanesco wamefungia umeme. Inafikia hatua unawaza, hivi yule ambaye ametoka kwenye ubavu wangu atakuwa amefikishwa kwenye hali gani?
Naiomba Serikali ya CCM inisaidie kwa hili kwa kweli, iachane na mambo ya katiba na maendeleo kwanza
Huku duniani hali ni dhofrihali! Mbususu zinachakatwa na kuchakarika kama hazina wamiliki, ama kana kwamba zimetelekezwa. Yaani hapa haitajalishi ni Uswazi ama Ushuwani. Tena Ushuwani watu wanageiana kama BigG, yaani hata ile wanaita Jenga Urafiki ni lazima wakulane, binamu yake akifaulu mitihani anapewa mbususu kama kipozeo, kwenye mabar huko Sinza hali ni tete, yaani inauzunisha sana kutizama
Huku Uswahilini hali ni mbaya sana, tena zaidi ya sana. Huku mpaka wanadiliki kupakaza dongo kumkichwa, Dah! Yaani huku haijalishi ni mchana jua kali ama ni usiku ambao Tanesco wamefungia umeme. Inafikia hatua unawaza, hivi yule ambaye ametoka kwenye ubavu wangu atakuwa amefikishwa kwenye hali gani?
Naiomba Serikali ya CCM inisaidie kwa hili kwa kweli, iachane na mambo ya katiba na maendeleo kwanza