Habari zenu wana jf
Nina idea kubwa sana ya kuleta change
Nataka ninaanze kuuza gadgets kama smartphones,laptops na game consoles na game discs kwa mtaji wa 10 millions wapi naweza pata hizo bidhaa
Je nifunge safari kwenda nje au ninunue online na vipi kuhusu changamoto zilizopo hasa kwenye masuala ya kodi
Tafadhali kama una experience na hili usisite kufahamishana hasa kuhusu wapi unanunua bidhaa na kuzileta tz na pia je hizo bidhaa ni original na sio fake kwani hio ni challenge kubwa
Kaka ushauri wangu... huzo pesa ni ndogo sanaaa kwa kwenda au kuaguza nje kwa biashara hiyo... mm nauza laptops and desktop also phones. Nipigie nikupe ushauri zaidi .... 0779420000