Hahaha huo mtaa ukinyoosha moja kwa moja hadi zilipo ofisi za Mkuu wa Mkoa, ndipo kidume nilikuwa nikiishi...
Eeeh nimepakumbuka pale......si pale tulikunywa papli papli......
Hehehe...sio hapo bhanaaa Dr, kule kwa kipapli papli ni Chumbageni.
Hapo pichani ni karibu kabisa na pale Nyumbani Lounge (Kwa Dereva wa Mkuu wa Mkoa)...
Usinikumbushe mitaa hiyo bana, mi ntamkumbuka Madame B sasa hv, na kumbatio la karne!Hehehe...sio hapo bhanaaa Dr, kule kwa kipapli papli ni Chumbageni.
Hapo pichani ni karibu kabisa na pale Nyumbani Lounge (Kwa Dereva wa Mkuu wa Mkoa)...
Hapo aliposimama mpiga picha ni TOYOTA, karibu na hapo kwenye jengo la TANESCO kuna mzee wetu mtaalamu wa kutengeneza matunda, unauziwa kwa sahani..