Aphiwe anamzengea CalvinCharlie kashaanza kuwa hamuelewi elewi Aphiwe.
Aphiwe anamzengea CalvinCharlie kashaanza kuwa hamuelewi elewi Aphiwe.
kwanini amuue, mimba sio yake auAtaondoka dear... Lincoln atamuua na huo utakua mwisho wake kama Frank
Watu wanasepa
Calvin kaamua kuepusha shari kaondoka kwenye apartmentAphiwe anamzengea Calvin
Ina maana atakwenda kumwulia huko wanakokwenda kutambikia au? Mbona anaonekana kuwa na furaha na kutoa smile ya nguvu? Haya Sechaba yuko keko kwa kuhusishwa na mauaji ya Mbatha. Je, watagundua mwuuaji ni Nina?
Aphiwe anamtamani Calvin hadi mwenyewe anajua anatamaniwaCalvin kaamua kuepusha shari kaondoka kwenye apartment
Mtoto mkorofi pamoja na kuambiwa kuwa Calvin na Charlie wanadate bado kakomaa, ana bahati Pastor Gabriel ana maskendo kwa jinsi alivyo fisi maji asingeponaAphiwe anamtamani Calvin hadi mwenyewe anajua anatamaniwa
Mtoto mkorofi pamoja na kuambiwa kuwa Calvin na Charlie wanadate bado kakomaa, ana bahati Pastor Gabriel ana maskendo kwa jinsi alivyo fisi maji asingepona
Aaaah nimepapenda hapo kweli the isidingo the needs. Aphiwe aneed kitu, barker ananeed kitu eddie ananeed kitu!Hushauriwi kutema bazoka, kwa kuonjeshwa utamu wa karanga kwani humudu kwa muda mfupi tu tofauti Na ule wa bazoka.
Muchie Sechaba Moloi, alikuwa Na nafasi nzuri ya kukuza Na kujifunza mambo ya kiongozi pale penthouse kwa CEO Nikiwe, lakini kwa tamaa za karanga akatumikia Malaika Sebeko pamoja Na shetani mwenye sura ya Cleopatra Nina!
Kajikuta katika mkwamo Mkuu, katika mauaji ya Mzee wa kabisa Mbatha! mara ya kwanza akihojiwa Na Edie kakana si kwa kutomjua tu Bali hata hajawahi muona. Bahati mbaya Mzee wa totoz Mtumishi wa "Mungu" sio MUNGU anajua kutumia ulimi wake katika kujitetea! kamsukumia Moloi zigo, now Edie anamshuku Moloi Kuwa ana fishy agenda juu ya kifo cha Mbatha!
Mambi yamekuwa mambo. kunakila dalili Nikiwe atamfukuza Moloi kama mshauri Na msimamizi wa maswala ya wachimbaji katka SIBEKO Na Kule polisi ataozeahwa keai ya mauaji ya Mbatha!
Ha ha ha ha kweli Isidingo the Needs, maana Aphiwe ananeed kitu, Barker mafiaso ananeed kitu, Na hata Edie Holmes ananid kitu! ha ha ha
Tayari DNA imemnasa Sechaba na Eddie amembeba kwa mahojiano zaidi.Hushauriwi kutema bazoka, kwa kuonjeshwa utamu wa karanga kwani humudu kwa muda mfupi tu tofauti Na ule wa bazoka.
Muchie Sechaba Moloi, alikuwa Na nafasi nzuri ya kukuza Na kujifunza mambo ya kiongozi pale penthouse kwa CEO Nikiwe, lakini kwa tamaa za karanga akatumikia Malaika Sebeko pamoja Na shetani mwenye sura ya Cleopatra Nina!
Kajikuta katika mkwamo Mkuu, katika mauaji ya Mzee wa kabisa Mbatha! mara ya kwanza akihojiwa Na Edie kakana si kwa kutomjua tu Bali hata hajawahi muona. Bahati mbaya Mzee wa totoz Mtumishi wa "Mungu" sio MUNGU anajua kutumia ulimi wake katika kujitetea! kamsukumia Moloi zigo, now Edie anamshuku Moloi Kuwa ana fishy agenda juu ya kifo cha Mbatha!
Mambi yamekuwa mambo. kunakila dalili Nikiwe atamfukuza Moloi kama mshauri Na msimamizi wa maswala ya wachimbaji katka SIBEKO Na Kule polisi ataozeahwa keai ya mauaji ya Mbatha!
Ha ha ha ha kweli Isidingo the Needs, maana Aphiwe ananeed kitu, Barker mafiaso ananeed kitu, Na hata Edie Holmes ananid kitu! ha ha ha
Dah sechaba anatia huruma kwakweli! Sasa nae sijui kwanini alimuamini Nina kiasi kile hadi hataki kuamini kuwa amehusika!Tayari DNA imemnasa Sechaba na Eddie amembeba kwa mahojiano zaidi.
Tatizo ni kwamba alianza kumpenda. Alidhani hata akina Nina wanapendeka. Acha yamkute.Dah sechaba anatia huruma kwakweli! Sasa nae sijui kwanini alimuamini Nina kiasi kile hadi hataki kuamini kuwa amehusika!
Wacha yamkute. Kwa nini yeye hataki kutembelewa na Lerato na wazazi wake? Halafu huyu Sechaba anajua Nina ndo alimwua Mbatha kwa kuwa wakati yule Sgora anaagizwa akamlete Mbatha Sechaba alikuwapo.Sechaba naona anazidi kuchanganyikiwa baada ya Nina kumtosa kumsaidia na kumwambia asimuite tena
Ndiko anakoelekea. Lakini si chenyewe kilianza na kinatangaza kila mahali kina crush naye?Hivi yote tisa huyu Calvin mbona simuelewi kaanza kukipenda kile kitoto nini?
Mmh hii sasa Kali! Mtoto kaacha kufanana na baba kafanana na mchepuKwenye picha ya ultrasound ya mimba ya katlego nimeona mtoto kafanana na calvin