Car4Sale Wapenzi wa magari mazuri msiache kupitia huu uzi ili kuuza au kununua

Status
Not open for further replies.
Price zake? Alafu nataka ambayo naweza kuwa napiga rought road mara chache na safari za mkoa mwisho wa mwaka.
Bila shaka majibu ya mkuu Nkt logistics yamekutosheleza.
Ipo Subaru Forester ina km 150k, imetumika na mmiliki mmoja tangu inaingia nchini, ipo kwenye hali nzuri sana, inauzwa 9M mazungumzo yapo.
Nadhani kwa masafa itakufaa
IMG-20180204-WA0007.jpg
IMG-20180204-WA0012.jpg
space ya kutosha kwenye boot
IMG-20180204-WA0015.jpg
tuwasiliane 0689699704
 
Wakuu habari zenu, leo nimeamua kuja na mjumuiko wa magari ambayo naamini yatawafaa wengi.Nayaorodhesha hapa kama ifuatavyo.
NB:Gari nyingi nzuri zipo post za chini, kama hutaweza kupitia zote nakushauri upitie japo post 5 kuanzia chini kuja juu.
1:Toyota mark x ya mwaka 2004,imetembea km 203000,engine 2990cc bei ni 8.3MView attachment 621422View attachment 621423View attachment 621424View attachment 621425
2: Noah Townace ya mwaka 2001,imetembea km 128000 bei ni 12.5MView attachment 621428View attachment 621430View attachment 621432
3:Toyota Noah sr40,bei 8.5MView attachment 621433View attachment 621434View attachment 621436
4:pick up double cabin engine 3l, bei 17MView attachment 621440View attachment 621442
5:Kluger new model, 4cylinder bei 20MView attachment 621446View attachment 621447View attachment 621448View attachment 621449View attachment 621451
6:prado Tx imetembea km 57000 ,engine 3rz, bei 26MView attachment 621454View attachment 621455View attachment 621457
Tuwasiliane kupitia 0689699704,karibuni sana.
Thank but I just received two last month (15/01/2018) both mine & wife.

Thank you very much. Stay blessed. Hiyo Harier niliimport tsh 20Mil, na Suzuki ni tsh 12 Mil.

71e1f9ecdde468c8498679c655bc5752.jpg
f5109827ba73209bdcf63a231bb2ae90.jpg
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom