Master of the game
JF-Expert Member
- Sep 1, 2016
- 5,858
- 2,680
Bila shaka majibu ya mkuu Nkt logistics yamekutosheleza.Price zake? Alafu nataka ambayo naweza kuwa napiga rought road mara chache na safari za mkoa mwisho wa mwaka.
Ipo Subaru Forester ina km 150k, imetumika na mmiliki mmoja tangu inaingia nchini, ipo kwenye hali nzuri sana, inauzwa 9M mazungumzo yapo.
Nadhani kwa masafa itakufaa