yesaya ibrahim
Member
- Jan 13, 2011
- 5
- 0
wanaopendana kwa dhati hawajawahi kuingia katika mahusiano wiki moja tu baada ya kuonana
Mbona mimi na wewe tulipenda ndani ya masaa tu l.o.lni kweli
cz thr z no love from 1st site
penz umea na kukua..
1st unamtaman mtu kwa nje tu
2nd unaongea nae kujua upstair yake yaliyomo yamo?
mnashare LUGHA?kuna code n chemistry btn u?
3rd unamchunguza yupo SAFE? thats hana mtu/akuna kikwazo?
4th mnaanza sasa apa na pale apa napale mwshowe mnafall kiukweli ...
lakin mimi siamin katika kumpenda mtu kwa style ya shok et nimemwona tu moyo wangu ukapga ppppaaaaaaaaaaaaaaaaa nikampenda apo apo .....ukimkarbia kuongea nae anaongea upupu,maluweluwe,anatukana tu anaongea UGORO in shot unataka kunambia utaendelea kumpenda?
ni kweli mapenz ya kweli hayaji kwa muda mfup...t takes tym.
nawasilisha naenda kupasha kiporo changu mie wali njegere nile nifue karibuni......:love:
Mbona mimi na wewe tulipenda ndani ya masaa tu l.o.l
Me will be coming kino klain halafu baada ya kuja nitafunga njia zote ili wale wengine wasijecz we r excptional....wateule..AWA WAMATAIFA AWATAWEZA KUPAS STYLE YETU...ptia kndon leo jaman dig dig wewe missng u badly
wanaopendana kwa dhati hawajawahi kuingia katika mahusiano wiki moja tu baada ya kuonana
Me will be coming kino klain halafu baada ya kuja nitafunga njia zote ili wale wengine wasije
sijui ni njaa, sijui ni kazi nyingi sijui lbd mie mwenye kilaza tu mbona sijaelewa???????
Me will be coming kino klain halafu baada ya kuja nitafunga njia zote ili wale wengine wasije