Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,150
Kama tutarajiavyo
kesho ni kesho aliesema keshokutwa mwongo..wapendwa wana ccm tunaomba msituchagulie mafisadi na kuja kulalamika wakiwa bungen..naomba mjue apandae Bangi atavuna Bangi..kama mnamchagua wala rushwa msipige kelele wakiwa madarakani tafadhali
Tunaomba muwe makini sana na mtakaowachagua dhamana hii msije kuijutia hapo baadae kwa sh alfu kumi kumi zilizomwagwa kwa watu wakati wa kampen wakati wa kupiga kura akuna anaekuona unampigia nani tusiangalie vijisent vilivyomwagwa tuangalie watatufanyia nini hawa tunaowachagua.....tunawatakien kila la kheri tulitamani kupiga kura lakini kutokana na ujenzi wa taifa tunasikitika tutakuwa nanyi kiroho
Mungu ibariki CCM Mungu ibariki Tanzania
kesho ni kesho aliesema keshokutwa mwongo..wapendwa wana ccm tunaomba msituchagulie mafisadi na kuja kulalamika wakiwa bungen..naomba mjue apandae Bangi atavuna Bangi..kama mnamchagua wala rushwa msipige kelele wakiwa madarakani tafadhali
Tunaomba muwe makini sana na mtakaowachagua dhamana hii msije kuijutia hapo baadae kwa sh alfu kumi kumi zilizomwagwa kwa watu wakati wa kampen wakati wa kupiga kura akuna anaekuona unampigia nani tusiangalie vijisent vilivyomwagwa tuangalie watatufanyia nini hawa tunaowachagua.....tunawatakien kila la kheri tulitamani kupiga kura lakini kutokana na ujenzi wa taifa tunasikitika tutakuwa nanyi kiroho
Mungu ibariki CCM Mungu ibariki Tanzania