mbarikiwe sana wapendwa
For I know that my redeemer lives
and at the last,
He will stand upon the earth!!
judy jana kulikuwa na mtu anakuulizia humu.....kumbe upo safi sana
juu ya mada yako hii hata hao wadogo (million)kuna watu wanawalilia sana na ndio maana kila kona sasa hivi inatoa misaada kuwasaidia hao watu huko somalia
ndio maajabu ya kiumbe aitwaye binadamu
Mungu mkubwa!!!
kumbe na wewe umeishaona eeee??
Vipi Lager hivi huwa unakunywa, nikupe offer!!
dada ulipotea sana kumbe mzima
usishangae sana ya TCRA kuna mengine makubwa zaidi ya hayo utayasikia karibuni
Miss judy how are you ?i just like you!
Mhh! Nimeshtukia! Nadhani kuna umuhimu kila member wa jf atumie avator ya kike ili apate salam za hivi. Ila huyu ni Mama Mchungaji mtakoma nae! Naona wengine wanatangaza OFFER, mh!!Miss judy how are you ?i just like you!