Mdogo wangu anauza viuma chakavu hapa jijini Dar.Mpemba ni miongoni mwa vijana wake wanaopima chuma ofisini kwake. Huyu mpemba alisema, pemba kuna viuma chakavu kibao. mdogo wangu akawapa pesa pamoja na dogo mwingine wa bara wakakusanye viuma kule.
Kufika kule mama mtu (mpemba) kakataa katakata kwamba hajawahi kumwona mtu wa aina ile (mbara) tena mkristo kwaiyo hawezi kuishi kwake.Dogo akaamua kurudi Dar. Hivi pemba hawapo wa bara au wakristo? Hii sentensi yake ya hajawahi kuona mtu wa aina ile ina maana gani? Nimeshindwa kuelewa maake sijabahatika kufika pemba.
Kufika kule mama mtu (mpemba) kakataa katakata kwamba hajawahi kumwona mtu wa aina ile (mbara) tena mkristo kwaiyo hawezi kuishi kwake.Dogo akaamua kurudi Dar. Hivi pemba hawapo wa bara au wakristo? Hii sentensi yake ya hajawahi kuona mtu wa aina ile ina maana gani? Nimeshindwa kuelewa maake sijabahatika kufika pemba.