Wapambe na Mashabiki wa Makanikia Mnaharibu Mambo!!!

EWGM's

JF-Expert Member
Jul 22, 2013
1,521
2,109
Tuweke record sawa kwanini kwenye hili la makanikia great thinkers wanapigia kelele kuwa hatua ambazo serikali imechukua si sahihi. Dhamila ya serikali ni njema kabisa ila hatua siyo sahihi na gharama zake ni kubwa mno kuzilipaa na za muda mrefu kuliko hata hicho kiasi cha makanikia yenyewe. Ili dhamira itimie lazima hatua sahihi zichuliwe na zifuatwe kwa umakini mkubwa.

Hili jambo liko very complex lakini mmekubali kumuachia mtu mmoja kuchukua maamuzi kutokana na hisia zake tu na pia kwa kuwa katiba inaruhusu. Cha kushangaza huyu bwana mkubwa ameshashiriki kwenye maamuzi mengi mazito ya nchi hii ambayo kwa asilimia kubwa amelitia hasara tu taifa. Na hapa ndiyo kwenye tatizo sababu kama mnakumbuka kale ka-clip kanakozunguka kinachomuonyesha JPM yuko kijiweni anapiga soga na marafiki zake akiwemo C. Kitwanga, MP.

Anaongea vitu kirahisi rahisi tu “temperature hii… inayeyusha silver” na kadha wa kadha. Na hapo ndipo anapotia shaka sababu kwenye jambo lolote complex kama hili kuna taratibu (analytical approach) za kufuatwa ili liweze kutatuliwa kiufasaha na si kwa soga za vijiweni. Analytical approach is the use of an appropriate process to break a problem down into the smaller pieces necessary to solve it. Lakini pia ili analytical approach itoe majibu sahihi kuna miiko yake inabidi iepukwe;

· moja usilikabili jambo (complex) kama hili la makanikia tayari ukiwa na nia ya hitimisho/jibu unalolitaka wewe kama tulivyoona mazungumzo ya JPM kwenye kale ka-clip.

· pili wakati unavyolishugulikia usikomalie substances (makanikia, maneno ya watu) tu nakujisahau mwelekeo/taratibu za kufuata ili kupata lile unalolipenda au kukusudia na kusahahu makando kando mengine kama tulivyoona kwenye ripoti ya Prof. Mruma. Kwa wachumi hii inaitwa (phenomenon satisficing)

· tatu kushupalia vitu na mambo yasiyo na msingi na kusahau mlolongo mzima unataka nini? Ego mara nyingi ina madhara makubwa sana.

Kwa maelezo zaidi kuhusu analytical approach na ili muwezu kumuelewe Tundu Lissu vizuri anapigania nini, Fred Mpendazoe na wengine tafuteni kitabu cha Morgan D. Jones, former CIA analyst: The Thinker's Toolkit, 1995. The book contains 14 powerful analytical techniques for solving difficult problems. Hivyo Tundu Lissu anaongelea kwenye capacity yake kama mwanasheria kuwa tumechukua maamuzi kwa ushabiki na kusahahu mengine, hivyo technically zoezi zima litakuwa na gharama kubwa kuliko hii tunayotaka kuilinda. Kimsingi Lissu analalamikia process iliyofuatwa siyo sahihi. Na kisheria yuko sahihi kabisa lakini wenye akili ndogo bila hata weredi wa sheria wanatumia maneno mengi ya khanga kumpinga.

Wote tunajua kwamba kama taifa lengo letu ni moja, kutunza na kulinda rasilimali za taifa kwa umoja. Lakini kama wote tunakubali kuongozwa na akili moja na ikatufanya wote tuwe na fikra sawa na yeye (the same level of thinking) bila kushughulisha uwezo wetu wa kufikiri na nafasi zetu basi huko tunakoenda ni hatari zaidi. Nahisi hii inatokana na maamuzi ya vitisho na wasomi wengi wa nchi hii hawajiamini kiasi cha kufikia kiwango chao cha fikra na ubongo kujifunga. Pia inachangiwa na idadi kubwa ya watu wajinga kuongezeka maradufu kwenye nchi hii. Na kwa kuwa tumefika level hiyo basi kila jambo tutakalo taka kulitatua hata tukifata analytical approach itatuletea matokeo ya “instinctive approach”.

Na wale watakao tumia nafasi zao kufikiri tofauti na akili zilizo lala ambazo ni wengi mara nyingi huonekana watu wa ajabu na tofauti kwenye jamii. Ili tupate matokeo sahihi kwenye matatizo yetu lazima tuwe more comprehensive and more effective hivyo analytical approach yetu kwenye matatizo kama haya itakuwa “structured approach”. Kwenye structured approach always the mind remains open, enabling one to examine each element of the decision or problem separately, systematically, and sufficiently, ensuring that all alternatives are considered. Na huku ndiko aliko Tundu Lissu lakini kinachoshangaza Watanzania wengi na wengine wasomi wanashindwa kuelewa hili.

Kuonyesha kwamba mambo si sawa hata ndani ya serikali yenyewe na chama chake wanalumbana kuwa ripoti ya Prof. Mruma ni “Bashite”. Kusema kweli vitu vingine ni aibu sana, ACACIA wanasema ripoti ni ya hovyo wala haihitaji an expert kuikosoa/kuona makosa wakati imeandikwa, kuratibiwa na kusimamiwa na Professor. Kwanini Prof. Mruma amekubali kujiaibisha hivi? Kwanini watu wanatumia utapeli wa kujiita wazalendo lakini kiukweli maslahi yao binafsi au vyama vyao ndiyo namba moja kwenye kila jambo linalohusu nchi hii??


Beware!! that shining light at the end of the tunnel suddenly turns to be an oncoming train at high speed


NB. MOD’s please msiunganishe huu uzi na mwingine wowote
 
Ngoja waje wenye akili wavunjevunje haya madini uliyomwaga hapa ili yawe tayari kuliwa hata na wale wenye akili ya kawaida,maana akili iliyotumika hapa ni kubwa mno!
 
Tuweke record sawa kwanini kwenye hili la makanikia great thinkers wanapigia kelele kuwa hatua ambazo serikali imechukua si sahihi. Dhamila ya serikali ni njema kabisa ila hatua siyo sahihi na gharama zake ni kubwa mno kuzilipaa na za muda mrefu kuliko hata hicho kiasi cha makanikia yenyewe. Ili dhamira itimie lazima hatua sahihi zichuliwe na zifuatwe kwa umakini mkubwa.

Hili jambo liko very complex lakini mmekubali kumuachia mtu mmoja kuchukua maamuzi kutokana na hisia zake tu na pia kwa kuwa katiba inaruhusu. Cha kushangaza huyu bwana mkubwa ameshashiriki kwenye maamuzi mengi mazito ya nchi hii ambayo kwa asilimia kubwa amelitia hasara tu taifa. Na hapa ndiyo kwenye tatizo sababu kama mnakumbuka kale ka-clip kanakozunguka kinachomuonyesha JPM yuko kijiweni anapiga soga na marafiki zake akiwemo C. Kitwanga, MP.

Anaongea vitu kirahisi rahisi tu “temperature hii… inayeyusha silver” na kadha wa kadha. Na hapo ndipo anapotia shaka sababu kwenye jambo lolote complex kama hili kuna taratibu (analytical approach) za kufuatwa ili liweze kutatuliwa kiufasaha na si kwa soga za vijiweni. Analytical approach is the use of an appropriate process to break a problem down into the smaller pieces necessary to solve it. Lakini pia ili analytical approach itoe majibu sahihi kuna miiko yake inabidi iepukwe;

· moja usilikabili jambo (complex) kama hili la makanikia tayari ukiwa na nia ya hitimisho/jibu unalolitaka wewe kama tulivyoona mazungumzo ya JPM kwenye kale ka-clip.

· pili wakati unavyolishugulikia usikomalie substances (makanikia, maneno ya watu) tu nakujisahau mwelekeo/taratibu za kufuata ili kupata lile unalolipenda au kukusudia na kusahahu makando kando mengine kama tulivyoona kwenye ripoti ya Prof. Mruma. Kwa wachumi hii inaitwa (phenomenon satisficing)

· tatu kushupalia vitu na mambo yasiyo na msingi na kusahau mlolongo mzima unataka nini? Ego mara nyingi ina madhara makubwa sana.

Kwa maelezo zaidi kuhusu analytical approach na ili muwezu kumuelewe Tundu Lissu vizuri anapigania nini, Fred Mpendazoe na wengine tafuteni kitabu cha Morgan D. Jones, former CIA analyst: The Thinker's Toolkit, 1995. The book contains 14 powerful analytical techniques for solving difficult problems. Hivyo Tundu Lissu anaongelea kwenye capacity yake kama mwanasheria kuwa tumechukua maamuzi kwa ushabiki na kusahahu mengine, hivyo technically zoezi zima litakuwa na gharama kubwa kuliko hii tunayotaka kuilinda. Kimsingi Lissu analalamikia process iliyofuatwa siyo sahihi. Na kisheria yuko sahihi kabisa lakini wenye akili ndogo bila hata weredi wa sheria wanatumia maneno mengi ya khanga kumpinga.

Wote tunajua kwamba kama taifa lengo letu ni moja, kutunza na kulinda rasilimali za taifa kwa umoja. Lakini kama wote tunakubali kuongozwa na akili moja na ikatufanya wote tuwe na fikra sawa na yeye (the same level of thinking) bila kushughulisha uwezo wetu wa kufikiri na nafasi zetu basi huko tunakoenda ni hatari zaidi. Nahisi hii inatokana na maamuzi ya vitisho na wasomi wengi wa nchi hii hawajiamini kiasi cha kufikia kiwango chao cha fikra na ubongo kujifunga. Pia inachangiwa na idadi kubwa ya watu wajinga kuongezeka maradufu kwenye nchi hii. Na kwa kuwa tumefika level hiyo basi kila jambo tutakalo taka kulitatua hata tukifata analytical approach itatuletea matokeo ya “instinctive approach”.

Na wale watakao tumia nafasi zao kufikiri tofauti na akili zilizo lala ambazo ni wengi mara nyingi huonekana watu wa ajabu na tofauti kwenye jamii. Ili tupate matokeo sahihi kwenye matatizo yetu lazima tuwe more comprehensive and more effective hivyo analytical approach yetu kwenye matatizo kama haya itakuwa “structured approach”. Kwenye structured approach always the mind remains open, enabling one to examine each element of the decision or problem separately, systematically, and sufficiently, ensuring that all alternatives are considered. Na huku ndiko aliko Tundu Lissu lakini kinachoshangaza Watanzania wengi na wengine wasomi wanashindwa kuelewa hili.

Kuonyesha kwamba mambo si sawa hata ndani ya serikali yenyewe na chama chake wanalumbana kuwa ripoti ya Prof. Mruma ni “Bashite”. Kusema kweli vitu vingine ni aibu sana, ACACIA wanasema ripoti ni ya hovyo wala haihitaji an expert kuikosoa/kuona makosa wakati imeandikwa, kuratibiwa na kusimamiwa na Professor. Kwanini Prof. Mruma amekubali kujiaibisha hivi? Kwanini watu wanatumia utapeli wa kujiita wazalendo lakini kiukweli maslahi yao binafsi au vyama vyao ndiyo namba moja kwenye kila jambo linalohusu nchi hii??


Beware!! that shining light at the end of the tunnel suddenly turns to be an oncoming train at high speed


NB. MOD’s please msiunganishe huu uzi na mwingine wowote

Swali simple kwa Tundu ni je hiyo mikataba inawaruhusu kudanganya kwenye declaration ya mineral concentrates au la?
Na je kudanganya kwenye declaration hakuna consequence yeyote kisheria?
Binafsi ningemuelewa Tundu kama angekuwa anabisha kama ACACIA wanavyobisha kuwa concentrates zilizopatikana na kamati sio za kweli, lakini sio kumkejeli RAIS na kututishia eti tutashitakiwa na kushindwa bila kutuelimisha kuwa ACACIA wanaruhusiwa na sheria kudanganya declaration ya mineral concentrates kwenye michanga wanayosafirisha.
 
Swali simple kwa Tundu ni je hiyo mikataba inawaruhusu kudanganya kwenye declaration ya mineral concentrates au la?
Na je kudanganya kwenye declaration hakuna consequence yeyote kisheria?
Binafsi ningemuelewa Tundu kama angekuwa anabisha kama ACACIA wanavyobisha kuwa concentrates zilizopatikana na kamati sio za kweli, lakini sio kumkejeli RAIS na kututishia eti tutashitakiwa na kushindwa bila kutuelimisha kuwa ACACIA wanaruhusiwa na sheria kudanganya declaration ya mineral concentrates kwenye michanga wanayosafirisha.
hilo ndio gap kubwa ambalo anawachanganya followers wake.
sisi tumekamata mwizi, yeye anaibua hoja zisizohusiana na wizi huo hauzungumzii.
wizi ni undeclared minerals kwa kusingizia kama hazina commercial value.
Wizi ni kusema kiwango cha dhahabu niasi flani sisi tunafungua kiasi flani.
hapo sijui mikataba inaingiaje. maneno mengi lkn yako nje ya mada.
MIGA,SHERIA,MIKATABA haiwezi kuruhusu mtu 10 kuiita 2.
 
hilo ndio gap kubwa ambalo anawachanganya followers wake.
sisi tumekamata mwizi, yeye anaibua hoja zisizohusiana na wizi huo hauzungumzii.
wizi ni undeclared minerals kwa kusingizia kama hazina commercial value.
Wizi ni kusema kiwango cha dhahabu niasi flani sisi tunafungua kiasi flani.
hapo sijui mikataba inaingiaje. maneno mengi lkn yako nje ya mada.
MIGA,SHERIA,MIKATABA haiwezi kuruhusu mtu 10 kuiita 2.
Suala la wizi linakosa mashiko kwa kuwa halijathibitishwa na neutral committee. Una maoni gani iwapo tutajiaminisha kuwa Acacia wametuibia kwa kubase taarifa ya Mruma halafu uchunguzi huru ukathibitisha kuwa hakuna tatizo? Ndio maana watu wanataka twende pole
 
Swali simple kwa Tundu ni je hiyo mikataba inawaruhusu kudanganya kwenye declaration ya mineral concentrates au la?
Na je kudanganya kwenye declaration hakuna consequence yeyote kisheria?
Binafsi ningemuelewa Tundu kama angekuwa anabisha kama ACACIA wanavyobisha kuwa concentrates zilizopatikana na kamati sio za kweli, lakini sio kumkejeli RAIS na kututishia eti tutashitakiwa na kushindwa bila kutuelimisha kuwa ACACIA wanaruhusiwa na sheria kudanganya declaration ya mineral concentrates kwenye michanga wanayosafirisha.
Kama una ripoti ya kamati ya Prof Mruma naomba uiweke hapa na sisi wengine ambao hatutaki kuamini kitu bila kuona japo Methodology yake na Conclusion and Recomendation ili tuweze kujadili vizuri kwa uwazi
 
Tuweke record sawa kwanini kwenye hili la makanikia great thinkers wanapigia kelele kuwa hatua ambazo serikali imechukua si sahihi. Dhamila ya serikali ni njema kabisa ila hatua siyo sahihi na gharama zake ni kubwa mno kuzilipaa na za muda mrefu kuliko hata hicho kiasi cha makanikia yenyewe. Ili dhamira itimie lazima hatua sahihi zichuliwe na zifuatwe kwa umakini mkubwa.

Hili jambo liko very complex lakini mmekubali kumuachia mtu mmoja kuchukua maamuzi kutokana na hisia zake tu na pia kwa kuwa katiba inaruhusu. Cha kushangaza huyu bwana mkubwa ameshashiriki kwenye maamuzi mengi mazito ya nchi hii ambayo kwa asilimia kubwa amelitia hasara tu taifa. Na hapa ndiyo kwenye tatizo sababu kama mnakumbuka kale ka-clip kanakozunguka kinachomuonyesha JPM yuko kijiweni anapiga soga na marafiki zake akiwemo C. Kitwanga, MP.

Anaongea vitu kirahisi rahisi tu “temperature hii… inayeyusha silver” na kadha wa kadha. Na hapo ndipo anapotia shaka sababu kwenye jambo lolote complex kama hili kuna taratibu (analytical approach) za kufuatwa ili liweze kutatuliwa kiufasaha na si kwa soga za vijiweni. Analytical approach is the use of an appropriate process to break a problem down into the smaller pieces necessary to solve it. Lakini pia ili analytical approach itoe majibu sahihi kuna miiko yake inabidi iepukwe;

· moja usilikabili jambo (complex) kama hili la makanikia tayari ukiwa na nia ya hitimisho/jibu unalolitaka wewe kama tulivyoona mazungumzo ya JPM kwenye kale ka-clip.

· pili wakati unavyolishugulikia usikomalie substances (makanikia, maneno ya watu) tu nakujisahau mwelekeo/taratibu za kufuata ili kupata lile unalolipenda au kukusudia na kusahahu makando kando mengine kama tulivyoona kwenye ripoti ya Prof. Mruma. Kwa wachumi hii inaitwa (phenomenon satisficing)

· tatu kushupalia vitu na mambo yasiyo na msingi na kusahau mlolongo mzima unataka nini? Ego mara nyingi ina madhara makubwa sana.

Kwa maelezo zaidi kuhusu analytical approach na ili muwezu kumuelewe Tundu Lissu vizuri anapigania nini, Fred Mpendazoe na wengine tafuteni kitabu cha Morgan D. Jones, former CIA analyst: The Thinker's Toolkit, 1995. The book contains 14 powerful analytical techniques for solving difficult problems. Hivyo Tundu Lissu anaongelea kwenye capacity yake kama mwanasheria kuwa tumechukua maamuzi kwa ushabiki na kusahahu mengine, hivyo technically zoezi zima litakuwa na gharama kubwa kuliko hii tunayotaka kuilinda. Kimsingi Lissu analalamikia process iliyofuatwa siyo sahihi. Na kisheria yuko sahihi kabisa lakini wenye akili ndogo bila hata weredi wa sheria wanatumia maneno mengi ya khanga kumpinga.

Wote tunajua kwamba kama taifa lengo letu ni moja, kutunza na kulinda rasilimali za taifa kwa umoja. Lakini kama wote tunakubali kuongozwa na akili moja na ikatufanya wote tuwe na fikra sawa na yeye (the same level of thinking) bila kushughulisha uwezo wetu wa kufikiri na nafasi zetu basi huko tunakoenda ni hatari zaidi. Nahisi hii inatokana na maamuzi ya vitisho na wasomi wengi wa nchi hii hawajiamini kiasi cha kufikia kiwango chao cha fikra na ubongo kujifunga. Pia inachangiwa na idadi kubwa ya watu wajinga kuongezeka maradufu kwenye nchi hii. Na kwa kuwa tumefika level hiyo basi kila jambo tutakalo taka kulitatua hata tukifata analytical approach itatuletea matokeo ya “instinctive approach”.

Na wale watakao tumia nafasi zao kufikiri tofauti na akili zilizo lala ambazo ni wengi mara nyingi huonekana watu wa ajabu na tofauti kwenye jamii. Ili tupate matokeo sahihi kwenye matatizo yetu lazima tuwe more comprehensive and more effective hivyo analytical approach yetu kwenye matatizo kama haya itakuwa “structured approach”. Kwenye structured approach always the mind remains open, enabling one to examine each element of the decision or problem separately, systematically, and sufficiently, ensuring that all alternatives are considered. Na huku ndiko aliko Tundu Lissu lakini kinachoshangaza Watanzania wengi na wengine wasomi wanashindwa kuelewa hili.

Kuonyesha kwamba mambo si sawa hata ndani ya serikali yenyewe na chama chake wanalumbana kuwa ripoti ya Prof. Mruma ni “Bashite”. Kusema kweli vitu vingine ni aibu sana, ACACIA wanasema ripoti ni ya hovyo wala haihitaji an expert kuikosoa/kuona makosa wakati imeandikwa, kuratibiwa na kusimamiwa na Professor. Kwanini Prof. Mruma amekubali kujiaibisha hivi? Kwanini watu wanatumia utapeli wa kujiita wazalendo lakini kiukweli maslahi yao binafsi au vyama vyao ndiyo namba moja kwenye kila jambo linalohusu nchi hii??


Beware!! that shining light at the end of the tunnel suddenly turns to be an oncoming train at high speed


NB. MOD’s please msiunganishe huu uzi na mwingine wowote
Nimeipenda warning at the end

Hii ripoti ni shining light or a hurtling train down the cliffhanger?
 
Swali simple kwa Tundu ni je hiyo mikataba inawaruhusu kudanganya kwenye declaration ya mineral concentrates au la?
Na je kudanganya kwenye declaration hakuna consequence yeyote kisheria?
Binafsi ningemuelewa Tundu kama angekuwa anabisha kama ACACIA wanavyobisha kuwa concentrates zilizopatikana na kamati sio za kweli, lakini sio kumkejeli RAIS na kututishia eti tutashitakiwa na kushindwa bila kutuelimisha kuwa ACACIA wanaruhusiwa na sheria kudanganya declaration ya mineral concentrates kwenye michanga wanayosafirisha.

Umeuliza swali la msingi sana lakini swa lako litakuwa na maana sana ikiwa matokeo ya ripoti yangekuwa hayana shaka na kuwa wazi kujadilika.

Acacia wameomba ripoti na wao wajiridhishe nayo lakini serikali haijawapa au imewanyima wewe huoni kuna tatizo hapo?

Lakini Acacia wameenda mbali zaidi kusema matokeo yamepikwa na hayaitaji ujuzi kujua hilo sababu namba haziwiani
 
Tuweke record sawa kwanini kwenye hili la makanikia great thinkers wanapigia kelele kuwa hatua ambazo serikali imechukua si sahihi. Dhamila ya serikali ni njema kabisa ila hatua siyo sahihi na gharama zake ni kubwa mno kuzilipaa na za muda mrefu kuliko hata hicho kiasi cha makanikia yenyewe. Ili dhamira itimie lazima hatua sahihi zichuliwe na zifuatwe kwa umakini mkubwa.

Hili jambo liko very complex lakini mmekubali kumuachia mtu mmoja kuchukua maamuzi kutokana na hisia zake tu na pia kwa kuwa katiba inaruhusu. Cha kushangaza huyu bwana mkubwa ameshashiriki kwenye maamuzi mengi mazito ya nchi hii ambayo kwa asilimia kubwa amelitia hasara tu taifa. Na hapa ndiyo kwenye tatizo sababu kama mnakumbuka kale ka-clip kanakozunguka kinachomuonyesha JPM yuko kijiweni anapiga soga na marafiki zake akiwemo C. Kitwanga, MP.

Anaongea vitu kirahisi rahisi tu “temperature hii… inayeyusha silver” na kadha wa kadha. Na hapo ndipo anapotia shaka sababu kwenye jambo lolote complex kama hili kuna taratibu (analytical approach) za kufuatwa ili liweze kutatuliwa kiufasaha na si kwa soga za vijiweni. Analytical approach is the use of an appropriate process to break a problem down into the smaller pieces necessary to solve it. Lakini pia ili analytical approach itoe majibu sahihi kuna miiko yake inabidi iepukwe;

· moja usilikabili jambo (complex) kama hili la makanikia tayari ukiwa na nia ya hitimisho/jibu unalolitaka wewe kama tulivyoona mazungumzo ya JPM kwenye kale ka-clip.

· pili wakati unavyolishugulikia usikomalie substances (makanikia, maneno ya watu) tu nakujisahau mwelekeo/taratibu za kufuata ili kupata lile unalolipenda au kukusudia na kusahahu makando kando mengine kama tulivyoona kwenye ripoti ya Prof. Mruma. Kwa wachumi hii inaitwa (phenomenon satisficing)

· tatu kushupalia vitu na mambo yasiyo na msingi na kusahau mlolongo mzima unataka nini? Ego mara nyingi ina madhara makubwa sana.

Kwa maelezo zaidi kuhusu analytical approach na ili muwezu kumuelewe Tundu Lissu vizuri anapigania nini, Fred Mpendazoe na wengine tafuteni kitabu cha Morgan D. Jones, former CIA analyst: The Thinker's Toolkit, 1995. The book contains 14 powerful analytical techniques for solving difficult problems. Hivyo Tundu Lissu anaongelea kwenye capacity yake kama mwanasheria kuwa tumechukua maamuzi kwa ushabiki na kusahahu mengine, hivyo technically zoezi zima litakuwa na gharama kubwa kuliko hii tunayotaka kuilinda. Kimsingi Lissu analalamikia process iliyofuatwa siyo sahihi. Na kisheria yuko sahihi kabisa lakini wenye akili ndogo bila hata weredi wa sheria wanatumia maneno mengi ya khanga kumpinga.

Wote tunajua kwamba kama taifa lengo letu ni moja, kutunza na kulinda rasilimali za taifa kwa umoja. Lakini kama wote tunakubali kuongozwa na akili moja na ikatufanya wote tuwe na fikra sawa na yeye (the same level of thinking) bila kushughulisha uwezo wetu wa kufikiri na nafasi zetu basi huko tunakoenda ni hatari zaidi. Nahisi hii inatokana na maamuzi ya vitisho na wasomi wengi wa nchi hii hawajiamini kiasi cha kufikia kiwango chao cha fikra na ubongo kujifunga. Pia inachangiwa na idadi kubwa ya watu wajinga kuongezeka maradufu kwenye nchi hii. Na kwa kuwa tumefika level hiyo basi kila jambo tutakalo taka kulitatua hata tukifata analytical approach itatuletea matokeo ya “instinctive approach”.

Na wale watakao tumia nafasi zao kufikiri tofauti na akili zilizo lala ambazo ni wengi mara nyingi huonekana watu wa ajabu na tofauti kwenye jamii. Ili tupate matokeo sahihi kwenye matatizo yetu lazima tuwe more comprehensive and more effective hivyo analytical approach yetu kwenye matatizo kama haya itakuwa “structured approach”. Kwenye structured approach always the mind remains open, enabling one to examine each element of the decision or problem separately, systematically, and sufficiently, ensuring that all alternatives are considered. Na huku ndiko aliko Tundu Lissu lakini kinachoshangaza Watanzania wengi na wengine wasomi wanashindwa kuelewa hili.

Kuonyesha kwamba mambo si sawa hata ndani ya serikali yenyewe na chama chake wanalumbana kuwa ripoti ya Prof. Mruma ni “Bashite”. Kusema kweli vitu vingine ni aibu sana, ACACIA wanasema ripoti ni ya hovyo wala haihitaji an expert kuikosoa/kuona makosa wakati imeandikwa, kuratibiwa na kusimamiwa na Professor. Kwanini Prof. Mruma amekubali kujiaibisha hivi? Kwanini watu wanatumia utapeli wa kujiita wazalendo lakini kiukweli maslahi yao binafsi au vyama vyao ndiyo namba moja kwenye kila jambo linalohusu nchi hii??


Beware!! that shining light at the end of the tunnel suddenly turns to be an oncoming train at high speed


NB. MOD’s please msiunganishe huu uzi na mwingine wowote
We maneno mengi Lakini hakuna kitu
 
Suala la wizi linakosa mashiko kwa kuwa halijathibitishwa na neutral committee. Una maoni gani iwapo tutajiaminisha kuwa Acacia wametuibia kwa kubase taarifa ya Mruma halafu uchunguzi huru ukathibitisha kuwa hakuna tatizo? Ndio maana watu wanataka twende pole
Suala la neutral nadhani ni Part 2, Baada ya report zote kukamilika na wahusika wakataka kuverify kila kitu under neutral ground.
Hatua iliyopo Watanzania kupitia kiongozi wetu tunajiridhisha sisi kama sisi, na kupitia tume ya wasomi ninaowaamini imeleta majibu, sasa usipomuamini mtu aliyebobea kwenye hayo mambo utamwamini nani. tutaendelea kukisimamia hicho hicho hadi siku kitakapokuwa proven wrong na wao kushindwa kusimamia ukweli wao.

Hakuna haja ya kwenda polepole mkuu. Ndio maana wale jamaa waliapa. Maana yake riport yao ikiwa imechakachuka watatakiwa pia kuueleza umma kwa nini waliamua kunajisi. Tunasimamia ukweli uliopo sasa(wanatuibia). Kwa nini tuwaamini wawekezaji na sio hao jamaa...
 
Kama una ripoti ya kamati ya Prof Mruma naomba uiweke hapa na sisi wengine ambao hatutaki kuamini kitu bila kuona japo Methodology yake na Conclusion and Recomendation ili tuweze kujadili vizuri kwa uwazi

Mpaka sasa hii ripoti imekuwa kama siri ya serikali. Hata muhusika mkuu ameiomba hajapewa unadhani ndiyo itawekwa hadharani ili muikosoe, never! ... not to that extend
 
Mpaka sasa hii ripoti imekuwa kama siri ya serikali. Hata muhusika mkuu ameiomba hajapewa unadhani ndiyo itawekwa hadharani ili muikosoe, never! ... not to that extend

Muhusika mkuu anayo ya kwake ambayo amekuwa akiitumia kwa miaka yote. Mbina sisi hatujamuomba hiyo? Kwa nn na yeye hasiamue kujilidhisha halafu akaiweka hadharani kama ya mruma? Kiini cha ripoti kipo kwenye abstract. Mruma katoa abstract. Sasa nini kingine? Acacia wanatakiwa na wao waende kwingine kujiridhisha kama sisi ambavyo tulisindwa waamini TMAA na kutafta wengine. Na wao Acacia wanatakiwa mtafta mwingine zaidi ya SGS na watupe abstract kama ya mruma. Tatizo nini? Nini jamani?
 
Swali simple kwa Tundu ni je hiyo mikataba inawaruhusu kudanganya kwenye declaration ya mineral concentrates au la?
Na je kudanganya kwenye declaration hakuna consequence yeyote kisheria?
Binafsi ningemuelewa Tundu kama angekuwa anabisha kama ACACIA wanavyobisha kuwa concentrates zilizopatikana na kamati sio za kweli, lakini sio kumkejeli RAIS na kututishia eti tutashitakiwa na kushindwa bila kutuelimisha kuwa ACACIA wanaruhusiwa na sheria kudanganya declaration ya mineral concentrates kwenye michanga wanayosafirisha.
Jibu ni rahisi tu mkuu, inawezekana kweli tunaibiwa, lakini tatizo linabaki pale pale, njia zilizotumika kumkamata huyo mwizi ndio shida inapoanzia.

ACACIA wameikataa tume pamoja na ripoti yake, maana haina uhalali kisheria. Na hata majaliwa ameshalitambua hilo ndio maana akatoa ile kauli ya kuwa wao (Serikali) walitaka kujiridhisha tu. Wameshajua kuwa walikurupuka.
 
Back
Top Bottom