That goes without sayingMungu anakuona
..Concept ya Utatu Mtakatifu Ipo sawa,tatizo ni kwamba walkua wanaabudu nini!!wewe binafsi umeonyesha ni sanamu hapo ndipo kulkua na tatizo sio utatu mtakatifukwanini watu wameendeleza hii ibada ya kipagani?
Brahmma, vishnu na Siva wahindi.
wakristo walipata hili suala kutoka kwa wapagani na kuaanza kulitumia. kwenye biblia hili jambo halipo, kuchukua fundisho la kipagani na kulazimisha liwe la kikisto hata kama hautumii Miungu yao ni tatizo...Concept ya Utatu Mtakatifu Ipo sawa,tatizo ni kwamba walkua wanaabudu nini!!wewe binafsi umeonyesha ni sanamu hapo ndipo kulkua na tatizo sio utatu mtakatifu
..Ukisema MUNGU its already the Holy trinity kwaio kutoka mwanzo utatu mtakatifu ulikuepo,wapagani ndo wakaDraw concept hio hapa na kuanza kuitumia visivyowakristo walipata hili suala kutoka kwa wapagani na kuaanza kulitumia. kwenye biblia hili jambo halipo, kuchukua fundisho la kipagani na kulazimisha liwe la kikisto hata kama hautumii Miungu yao ni tatizo.
Mungu ni Mmoja tu..Ukisema MUNGU its already the Holy trinity kwaio kutoka mwanzo utatu mtakatifu ulikuepo,wapagani ndo wakaDraw concept hio hapa na kuanza kuitumia visivyo
..Kaka neno MUNGU ni cheo,Its not the Father tu au mwana tu au Roho mtakatifu tu ni wote,kwaio Mungu ni mmoja mwenye Nafsi Tatu!!!!Mungu ni Mmoja tu
ukicheki hapo juu utaona Wamisri waliamini utatu miaka 2,000 kabla ya Yesu. kwahiyo wakristo ndiyo walichukua hili fundisho toka kwa wapagani...Ukisema MUNGU its already the Holy trinity kwaio kutoka mwanzo utatu mtakatifu ulikuepo,wapagani ndo wakaDraw concept hio hapa na kuanza kuitumia visivyo
Ni Mmoja tu na hana nafsi tatu..Kaka neno MUNGU ni cheo,Its not the Father tu au mwana tu au Roho mtakatifu tu ni wote,kwaio Mungu ni mmoja mwenye Nafsi Tatu!!!!
..Mwanzo moja,the Holy trinity imatajwa Pale mbona kabla hata Ya uumbaji!!ukicheki hapo juu utaona Wamisri waliamini utatu miaka 2,000 kabla ya Yesu. kwahiyo wakristo ndiyo walichukua hili fundisho toka kwa wapagani.
..Hamna Kitu kama MAMA kabisaBaba,Mtoto,Mama
Ally, Josef na Maryamu ni mtu mmoja mwenye sura tofauti au siyo??? We jamaa bwana. Wote watatu kuwa wanadamu haiwafanyi kuwa ni mmoja. Mkuu Mwenyezi MUNGU ni mmoja tu. Kama unasema ana nafsi tatu basi leta andiko linalokusapoti maneno yako. Nionavyo mm ni kuwa concept ya utatu ilibuniwa ili kuifanya dini ikubaliwe na wapagani wa kirumi. Kama unabisha leta aya inayoeleza kuwa Mungu ana nafsi tatu...Ni kama maji,ukigandisha utaita barafu,ukichemsha Yakayeyuka utaita mvuke(vapour),Yakiwa kawaida ni Maji but ni kitu Kile Kile
Neno Mungu ni Cheo kama wewe Mango833 ni ID yako JF,Ila bado naweza kukuita Mtoto wa Flan bado hicho ni Cheo,bado naweza kukuita Baba/Mama Flan bado ukaitika wewe.....IKO HIVONi Mmoja tu na hana nafsi tatu