Wanywaji wengi wanabahatika kupata watoto wa kike

TIQO

JF-Expert Member
Jan 8, 2011
13,787
2,078
Nimejaribu kufanya kautafiti nina rafiki zangu zaidi ya 20 ni wanywaji wazuri wa pombe cha kushangaza hawa wadau wake zao karibia wote wamebahatika kupata watoto wa kike, je kuna konekesheni gani kati ya pombe na ujio wa hawa watoto, naomba jibu wanasayansi.
Je inabidi jamaa anapo taka mtoto wa kiume astaafu pombe kama mwezi hivi????
Wadau wa kaunta Asprin, Teamo, Fidel80, Kimey, GY, st.R.R, The Finest, Bigirita, Acid na wengineo michango yenu muhimu jamani kwa hili.
Nawakilisha.
 
Huu ni ukweli jamani au kitu imegonga ikulu?
 
nasikia kuna mahusiano ya kutotuliza manii na mtoto wa kike,na pombe ni chanzo kizuri cha utulivu 0
 
Nimejaribu kufanya kautafiti nina rafiki zangu zaidi ya 20 ni wanywaji wazuri wa pombe cha kushangaza hawa wadau wake zao karibia wote wamebahatika kupata watoto wa kike, je kuna konekesheni gani kati ya pombe na ujio wa hawa watoto, naomba jibu wanasayansi.
Je inabidi jamaa anapo taka mtoto wa kiume astaafu pombe kama mwezi hivi????
Wadau wa kaunta Asprin, Teamo, Fidel80, Kimey, GY, st.R.R, The Finest, Bigirita, Acid na wengineo michango yenu muhimu jamani kwa hili.
Nawakilisha.
hesabu zao za kusaka vifaranga vya kiume ndo wanakosea... pombe yaishia tumboni.. mtoto atoka maunoni...!!!:frog:
 
Nimejaribu kufanya kautafiti nina rafiki zangu zaidi ya 20 ni wanywaji wazuri wa pombe cha kushangaza hawa wadau wake zao karibia wote wamebahatika kupata watoto wa kike, je kuna konekesheni gani kati ya pombe na ujio wa hawa watoto, naomba jibu wanasayansi.
Je inabidi jamaa anapo taka mtoto wa kiume astaafu pombe kama mwezi hivi????
Wadau wa kaunta Asprin, Teamo, Fidel80, Kimey, GY, st.R.R, The Finest, Bigirita, Acid na wengineo michango yenu muhimu jamani kwa hili.
Nawakilisha.

Hahaha kama kuna kaukweli flani vile eheeeeeee
 
hesabu zao za kusaka vifaranga vya kiume ndo wanakosea... pombe yaishia tumboni.. mtoto atoka maunoni...!!!:frog:

Hahahaha mkuu unajua ukiwa tungi ukifika dah unapalamia tu cha kushangaza unaweza piga na usingizi kifuani.
 
Nimejaribu kufanya kautafiti nina rafiki zangu zaidi ya 20 ni wanywaji wazuri wa pombe cha kushangaza hawa wadau wake zao karibia wote wamebahatika kupata watoto wa kike, je kuna konekesheni gani kati ya pombe na ujio wa hawa watoto, naomba jibu wanasayansi.
Je inabidi jamaa anapo taka mtoto wa kiume astaafu pombe kama mwezi hivi????
Wadau wa kaunta Asprin, Teamo, Fidel80, Kimey, GY, st.R.R, The Finest, Bigirita, Acid na wengineo michango yenu muhimu jamani kwa hili.
Nawakilisha.

Mi napiga ulabu asee. Na watoto wangu wote wawili ni mademu. Hii haimaanishi ntaacha kupiga ulabu.

Aftaroo watoto wa kike ni dili. Wakiolewa unaanza kuuza asset kidogokidogo unaenda hanemuni na mama yao. Ya kiume yanakudai mpaka vitanda na magodoro yake.
 
Mi napiga ulabu asee. Na watoto wangu wote wawili ni mademu. Hii haimaanishi ntaacha kupiga ulabu.

Aftaroo watoto wa kike ni dili. Wakiolewa unaanza kuuza asset kidogokidogo unaenda hanemuni na mama yao. Ya kiume yanakudai mpaka vitanda na magodoro yake.

Mtasema tu wote ngoja tuwasikilize
 
Hahahaha mkuu unajua ukiwa tungi ukifika dah unapalamia tu cha kushangaza unaweza piga na usingizi kifuani.

Hahahaha! Umeua mazima, unapiga usingizi na baioloji iko kwenye kikojoleo? Hapo lazima kazaliwe kabinti asee.
 
Hahahaha mkuu unajua ukiwa tungi ukifika dah unapalamia tu cha kushangaza unaweza piga na usingizi kifuani.
Ndo hapo nnaposema hesabu zinakuwa mbovu...!! kama unataka dume.... hata ukiwa BWAX... lazima ile siku ya siku unatupa kombora lilotengenezwa na supu ya mchicha, kitunguu saumu, pweza, ngisi na asali... ikisakafiwa na mzinga wa Konyagi!!:tongue:
 
Mi napiga ulabu asee. Na watoto wangu wote wawili ni mademu. Hii haimaanishi ntaacha kupiga ulabu.

Aftaroo watoto wa kike ni dili. Wakiolewa unaanza kuuza asset kidogokidogo unaenda hanemuni na mama yao. Ya kiume yanakudai mpaka vitanda na magodoro yake.

Nasikia watoto wa kike ni wepesi sana kukumbuka wazazi wao kuliko wa kiume ni kweli?
 
Ndo hapo nnaposema hesabu zinakuwa mbovu...!! kama unataka dume.... hata ukiwa BWAX... lazima ile siku ya siku unatupa kombora lilotengenezwa na supu ya mchicha, kitunguu saumu, pweza, ngisi na asali... ikisakafiwa na mzinga wa Konyagi!!:tongue:

Mkuu nimepata kiu ghafla...naenda kaunta. Hata nikipata mabinti 50, bia siachi..
 
Unscientific!
Kuna jamii zinazoeleweka kwa kunywa saaana, tungetegemea kupata watoto wa kike tu kwenye jamii hizo. Na kuna jamii zingine ambazo kwa tamaduni zao pombe ni za shida au ni kwa wizi tu, tungetegemea jamii hizo kuwa na watoto wa kiume tu!
 
Unscientific!
Kuna jamii zinazoeleweka kwa kunywa saaana, tungetegemea kupata watoto wa kike tu kwenye jamii hizo. Na kuna jamii zingine ambazo kwa tamaduni zao pombe ni za shida au ni kwa wizi tu, tungetegemea jamii hizo kuwa na watoto wa kiume tu!

Mi kabla sijaanza kuingia kwenye ulevi nilipiga madume haya 2 nilivyo anza kunywa ulabu kila mama akifyatua ni jike mpaka sasa na majike haya 5
 
Back
Top Bottom