ndyoko
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 4,971
- 1,650
Tunapodai wamasai, wairaki (wambulu), wandorobo na wahadzabe sio wabantu ni kutokana na miundo na sauti ya maneno ya lugha zao. Lakini kuna hili la Wanyakyusa la kujidai eti baadhi ya vitu kuvitamka kwa kiingereza kama lugha yao ya Kinyakyusa.
Hivi ni kweli hawa jamaa wanapotamka baadhi ya vitu kwa Kiingereza wakidai ni kinyakyusa ni sawa au ndo maringo yao tu pengine waonekane na wao matawi kwa kuwa lugha yao inafanana ya waingereza?
Hebu angalia mifano hii:
Kijiko wanaita -spoon
shule wanaita -skul
Hii imekaaje jamani, kama sio kujidai ni nini hasa? Nyie wanyakyusa hebu tujuzeni!
Hivi ni kweli hawa jamaa wanapotamka baadhi ya vitu kwa Kiingereza wakidai ni kinyakyusa ni sawa au ndo maringo yao tu pengine waonekane na wao matawi kwa kuwa lugha yao inafanana ya waingereza?
Hebu angalia mifano hii:
Kijiko wanaita -spoon
shule wanaita -skul
Hii imekaaje jamani, kama sio kujidai ni nini hasa? Nyie wanyakyusa hebu tujuzeni!