Wanawake wenye vitambi fanyeni mazoezi, vitambi 'miyeyusho' sana

mimiamadiwenani

JF-Expert Member
Mar 9, 2022
5,411
7,016
Hamjambo nyie?

Naomba niende madani directly. Hakuna kitu kinacholeta kinyaa na kero kama pale mwanamke mwenye kitambi anapofungua mkanda/chupi na kitambi kumwagika 'pwaaaa'. Inakera.

Achilia mbali hilo, kitambi kikiwa kikubwa hata ufanisi wa usafi binafsi wa mwili unakuwa mdogo kwa sababu si maeneo yote muhimu ya mwili yatafikika.

Uzi huu si wa kwanza kuletwa humu, inaonesha ni wavivu na hamuyafanyii kazi mapungufu tajwa kwenye nyuzi za nyuma. Hiyo haipendezi.

Binafsi kuwa na kitambi nachukia mno, kwa wanawake ndiyo kabisa. Hata kiafya haipendezi kujiachilia kwa kiwango hicho nyie wanawake. Fanyeni mazoezi mkate matumbo.

Natumai hili litafanyiwa kazi. Nilitaka kusahau hili, ni kwamba vitambi/matumbo makubwa ni kero hata kwenye tendo la ndoa 'mnyanduo'.

Ni kero kwa baadhi ya mikao kama vile 'mbuzi kagoma', ni kero kwa mwanamke kwa kuwa analalia tumbo.

Kwa mtindo wa 'kifo cha mende', inaleta kero pia kwa zile vibrations na waves/jiggles kwa kuwa wengine hatutaki kuziona.

Badilikeni bhana, mmekuwa kero. Fanyeni mazoezi otherwise talaka zinaweza kuwa nyingi mno siku za mbeleni.
 
Mkulima hachagui jembe,uje na kitambi ama kibiongo ama umepigwa pasi chura huna ama nini mbususu lazima iliwe vizuri tu bila kinyongo wala nini
 
Nilipouona huu uzi kidogoo niangukee wakati nawahi kusoma comments😄😄😄...Jaman labda mtuue hiyo ndio solution we are going through a lot to make sure vinatokaa lkn wapiiii😂😂😂
 
Back
Top Bottom