Wanawake wengine hawajui kusamehe

Marehemu Robison
 

Attachments

  • 1425720961689.jpg
    1425720961689.jpg
    22.7 KB · Views: 499
Kweli ukikosea step kwenye kuoa ni regret kubwa.Mshikaji wangu Rob alifunga ndoa yake Mwaka 2007, Alimwoa mdada wa kisukuma beautiful in body structure and face tall and attractive mshikaji alimpenda sana wife wake and good thing alikuwa anampa kila alichotaka.Mwaka mmoja baada ya ndoa yao walifanikiwa kupata Mtoto. Kuna kamgogoro kaliibuka, it was a normal conflict as hata plates zina collide.Hii conflict ilimsababishia dada kurudi kwao bahati nzuri Rob alipenda kujishusha akaenda kwa wakwe yakaisha.

Wakapata mtoto wa pili Rob akawa kwenye harakati za kufanya ujenzi wake kule Bushushu it was a good step in life Kamgogoro kengine kakaibuka kakali kuliko kale ka kwanza as usual mdada akasepa.More than a year in separation, Rob juzi kati hapa akadhamiria kabisa kurudiana na wife wake walee watoto wao wawili, akaamua kwenda hadi kwa mchungaji. Wife akaitwa Rob akamwomba sana wife wake warudiane.Akaomba msamaha mkubwa tena ule wakupiga Magoti mbele ya Pastor wife kachomoa, akagoma kabisa,inasemekana kuna deal alishazianza huko Dar.. Na kwa msisitizo akaamua hadi kwenda kuchukua alivyokuwa amebakiza kwa Rob.

Hii kitu ilimuumiza sana Rob compare na nguvu aliyotumia ku apologies and what he got in returns.Alipata shida moyoni mwake, alihuzunika sana watoto wake kuwa mbali na mama yao, na ujenzi ulikwishakamilika.Ilichukua kama siku 2 hivi akili kumrudi.

Last thursday Rob alitoka walau kukutana na baadhi ya wadau kabla yakurejea kwenye deal zake.
He spoke few words on what happen and then kapiga beer zake mbili.Around 4pm akawasha gari yake kuelekea Kahama.Aisee Rob hakufika Kahama salama, maeneo ya Usanda few Kilometers to Tinde.

Akapata ajali, bad accident kwenye gari walikuwa wawili,yeye na fundi mmoja.Fundi alifariki palepale,Rob alikimbizwa hadi Hospital ya Mkoa Shinyanga government he passed away.

Mke wake nae ndiyo alikuwa anarudi Dar after a big separation.
Alivyopata habari za kifo cha Rob, akageuza safari back to Shinyanga, akapata ajali maeneo ya Igunga bahati nzuri yeye hakuumia sana, alipelekwa hospital na akaruhusiwa na kashajiung

Hii kitu inaumiza sana msamehe mtu kabla usiku haujaingia hujui what is next.Rob's wife hakusamehe and Rob is not alive anymore atazikwa kesho.Bushushu. R.I.P bro & friend.

Inategemea na makosa ya huyo roby, simlaumu mkewe hata chembe. Kumsamehe mtu haimaanishi kila kitu kinajirudia kama hakijatokea kitu anaweza kuwa amemsamehe lakini hataki tena kujiweka matatizo aliyoyapata ndo maana aligoma kurudi kuishi nae. Naona wanawake wa msimamo hivi ndio tunaowahitaji katika jamii iliyojaa ukimwi na maradhi mengine kama HPV. Ingikuwa ndio mara ya kwanza tungesema hajui kusamehe, alimpa nafasi nyingine nayo akifanya jambo ambalo mwenzie hawezi kuvumilia. Hata siku moja kitu ambacho wewe unaona kidogo na yeye ataona kidogo.
Wanaume mjifunze, sumu ya mapenzi ni maudhi. Mnawaona wanawake mapoyoyo wanapowasamehe, you think they are too weak
 
Ataweweseka maisha yake yote yaliyosalia, mikosi itamuandama mpaka kwenye kucha, alikuwa shujaa kwa wanae lakini sasa ni sawa na jambazi.

Simpendi na afadhali simfahamu

Mi nampenda bureee huyu Mrs. Roby. Ana msimamo.
Inawezekana kwa mawazo yake alipima risk zake kwa kurudiana na roby akilinganisha na asiporudiana nae.
 
Inategemea na makosa ya huyo roby, simlaumu mkewe hata chembe. Kumsamehe mtu haimaanishi kila kitu kinajirudia kama hakijatokea kitu anaweza kuwa amemsamehe lakini hataki tena kujiweka matatizo aliyoyapata ndo maana aligoma kurudi kuishi nae. Naona wanawake wa msimamo hivi ndio tunaowahitaji katika jamii iliyojaa ukimwi na maradhi mengine kama HPV. Ingikuwa ndio mara ya kwanza tungesema hajui kusamehe, alimpa nafasi nyingine nayo akifanya jambo ambalo mwenzie hawezi kuvumilia. Hata siku moja kitu ambacho wewe unaona kidogo na yeye ataona kidogo.
Wanaume mjifunze, sumu ya mapenzi ni maudhi. Mnawaona wanawake mapoyoyo wanapowasamehe, you think they are too weak

Kikubwa haujui chanzo cha mgogoro wao,nakubaliana nawe si kila jambo linaweza sameheka.
 
Marehemu Robison

Apumzike kwa amani lkn mkewe hakumshikia steering wheel wakati anapata ajali. Mkewe asilaumiwe, jamii inaona makosa ya mwanamke hata akikosewa na akiamua kwa ajili yake mwenyewe.
 
Mi nampenda bureee huyu Mrs. Roby. Ana msimamo.
Inawezekana kwa mawazo yake alipima risk zake kwa kurudiana na roby akilinganisha na asiporudiana nae.

Msimamo ungekuwa + hata mimi ningemuunga mkono, kumbuka kuwa msimamo huo unapingana na maelekezo ya muumba wetu. Amewaleta watoto duniani kusota au kunyanyasika kwa kusimamia ushetani.
 
Mwenyezi mungu ampumzishe kwa amani, ukishaingia kwny ndoa uvumilivu, kusamehe ni vitu vya muhimu ukizingatia tayari unawatoto, kina mama tunatakiwa tuwe wavumilivu japo inategemea na kosa lenyewe. Kuna mengine si ya kuvumilia.
 
Msimamo ungekuwa + hata mimi ningemuunga mkono, kumbuka kuwa msimamo huo unapingana na maelekezo ya muumba wetu. Amewaleta watoto duniani kusota au kunyanyasika kwa kusimamia ushetani.

Wewe mkeo akiwa analala na kila anayemuona ukajua akakuomba msamaha ukamsamehe halafu ndani ya mwaka ukamfumania hali ukijua kuna ukimwi utamsamehe na kumrudia na kuwa nae kinyumba? Inawezekana ndo mazingira yaliyomkuta huyo dada, na kuna wanawake wana kinyaa vile vile hawezi kuvumilia zaidi. Utamlaumu wakati ulipewa nafasi, hata maneno ya BIBLIA yanasema watu wasiachane isipokuwa kwa sababu ya uzinzi na hili ndio janga la wanaume wa kizazi hiki.
Ushetani uko wapi hapo? Nani atawanyanyasa watoto mikononi mwanamke mama yao?
 
PesaNdogo kula likes laki 8! U nailed it! Tunasikia one side story!
Mwanamke ni mstahimilivu na mwenye moyo wa huruma! Ila kwa suala la uzinzi hata mimi ningemsamehe lakini ndiyo ungekuwa mwisho wetu!
Sijawaona mahala mwanaume anaweza samehe mkewe akiwa mzinzi tena wa kijirudiarudia NEVER!
Mjifunze na ninyi kusamehe wake zenu wazinzi ndipo mtunyooshee vidole na sisi tusamehe!
Eti kamgogoro kadogo kapi????? mbona hukasemi???
Hata kama angesamehewa ilikua ni siku yake ya kufa tu! Siioni kipya hapo?
 
Last edited by a moderator:
Wewe mkeo akiwa analala na kila anayemuona ukajua akakuomba msamaha ukamsamehe halafu ndani ya mwaka ukamfumania hali ukijua kuna ukimwi utamsamehe na kumrudia na kuwa nae kinyumba? Inawezekana ndo mazingira yaliyomkuta huyo dada, na kuna wanawake wana kinyaa vile vile hawezi kuvumilia zaidi. Utamlaumu wakati ulipewa nafasi, hata maneno ya BIBLIA yanasema watu wasiachane isipokuwa kwa sababu ya uzinzi na hili ndio janga la wanaume wa kizazi hiki.
Ushetani uko wapi hapo? Nani atawanyanyasa watoto mikononi mwanamke mama yao?

Thank you! Tena apumzike kunakostahili kutokana na matendo yake!
 
nina tatizo la kutokusamehe
Mungu anisaidie
yaani hata kitu kidogo tu napata wakati mgumu kusamehe,

Aisee tupo pamoja Mungu atusaidie jamani, ila mimi uniache hadi hasira zipungua kama siku 3 au 4 hivi, basi naachilia ila sometime nakumbuka du!
 
Haya ni anayosamehe Mungu unayoongelea, ya wanadamu kwa wanadamu ukubwa wa kosa unategemea aliyetendewa.

Haya haya ya wanadamu hakuna kosa lisilosameheka hata liwe kubwa kama mlima Kilimanjaro nasema hakuna, ni kuutune moyo wako na akili yako tu kwa lile ulilotendewa,kuna Baraka kubwa sana katika kusamehe na ni mateso makubwa sana kuwa na moyo usiosamehe,Siku zote anayeteseka ni yule asiyesamehe kuliko yule anayehitaji kusamehewa,ukishi katika kanuni ya kutangaza msamaha hata kabla hujaombwa msamaha ni nzuri sana Siku zote utakuwa mtu mwenye furaha na amani na utaishi mwenye heri siku zote za maisha yako.

Katika kesi hii Labda kiwatengu tuambie bidada hakusamehe kabisa au alisamehe akakataa kurudiana naye?
 
Last edited by a moderator:
Toa Mfano wa jambo lisilosameheka......maana hakuna kosa lisilosameheka isipokuwa kumkufuru Roho wa Mungu.

Labda niweke vizuri hoja yangu,kwenye ndoa kuna mambo mengine ambayo hata kanisa linatoa baraka za katika kuachana yaani kutoa talaka japo MUNGU anachukia talaka(soma malaki 2:16a) lakini kwa ajili ya uasherati talaka imeruhusiwa kibiblia(soma Mathayo 5:32 na 19:9).Sijajua tatizo la hawa ndugu ila kwa mkutadha huu Dada hasa Kama yeye alishasamehe Mara ya kwanza kisha jamaa akarudia tena yale yale,anaweza kugomea kusamehe.Kupigiwa inauma sema labda haijakukuta.
 
Back
Top Bottom