Wanawake wengi hawajui menstrual cycle inafanyaje kazi

Ur generalisation is amazing!
I have never. Hebu tupe uzoefu ulio nao wa wanawake ku......gwa.

Utakuwa umesahau...labda au hujui kama ndio umeota hivyo..ukafikiri ni joto tu la usiku....lakini normal and avarage women anapata...nyakati za usiku.....utamisikia akijinyonga kama vile anamezwa na chatu...aki scratch mapaja yake...

Hizo ni tips tu za what happen..na ukija jicheck au kwa wale ambao tumeshawahi waangalia utakuwa amekuwa wet kiasi cha kutosha...
 
Naomba msaada wenu kuhusu hizi siku kama nimeanza kubleed asubuhi ikifika ile siku ya kupata mimba inabidi niplay asubuhi au usiku?
 
Naomba nikujibu kuwa suala la kuplay iwe usiku au asubuhi halina influence ya wewe kupata mimba.Kutokana na Literature mbalimbali yafaa kufanya tendo kuanzia siku ya 7 toka umalize kumwaga oil chafu.Siku ya kilele kwa mwanamke makini ataona unatoka ute mzito ukeni japo ute huwa kuanzia hiyo siku ya 7 unatoka mwepesi lakini siku hiyo huwa mzito kama mlenda haukatiki haraka.Pia siku hiyo huwa joto linaongezeka kwa 0.5 centigrade.Hapo ukicheza uwezekano ni mkubwa nasema hivyo kwa kuwa kuna factors nyingine lazima ziwepo au zisiwepo ili kuconceive kama uke ukiwa too acidic utaua sperms. Watu wengi mpaka sasa hawaamini pia kuwa unaweza kuchagua mtoto jinsia gani uzae.Nina hakika mimi nimejaribu na imewezekana kuchagua.Anayetaka tuelezane aseme.tumepewa bure tunatoa bure
 
Jamani simnajua Characteristics za mbegu X na Y? nikuwa X huwa zinaenda polepole lakini zinadumu hata masaa 48 kabla hazijakutana na yai wakati Y huwa zina kasi lakini zinakufa haraka hivyo ukiplay siku ya kilele (Ovulation day) Y zitakimbia na kulikuta yai kuovulate hapo mtoto wa kiume na kama utaplay masaa 48 mpaka 24 nyuma ya siku ya kilele basi X zitabaki zikiishi wakati Y zitakuwa zimeshakufa hapo mtoto wa kike.hebu angalia hata Premature wawili mmoja wa kiume na mwingine wa kike yupi huwa ana uwezekano wa kupona zaidi? ni wakike.
 
Jamani simnajua Characteristics za mbegu X na Y? nikuwa X huwa zinaenda polepole lakini zinadumu hata masaa 48 kabla hazijakutana na yai wakati Y huwa zina kasi lakini zinakufa haraka hivyo ukiplay siku ya kilele (Ovulation day) Y zitakimbia na kulikuta yai kuovulate hapo mtoto wa kiume na kama utaplay masaa 48 mpaka 24 nyuma ya siku ya kilele basi X zitabaki zikiishi wakati Y zitakuwa zimeshakufa hapo mtoto wa kike.hebu angalia hata Premature wawili mmoja wa kiume na mwingine wa kike yupi huwa ana uwezekano wa kupona zaidi? ni wakike.

Tatizo lipo kwenye jinsi ya kutambua kwa uhakika siku ya ovulation.
 
Labda wapo wanaoota wakakusimulia... kwa vile mimi sijui, ndio naomba utufahamishe.

kwa wanawake mara nyingi wanakuwa wale ambao wana jini mahaba ambapo huwa linawaijiwa usiku na kwa kuwa halionekani hivyo yeye anakuwa anaota huku akimegwa na ni kweli anakuwa anamegwa na huwa linamzuia kuwa na mwanaume zaidi yake yaani huwa lina wivu kuliko maelezo .
Hivyo tu wakuu!!!!!!!
 
Tatizo lipo kwenye jinsi ya kutambua kwa uhakika siku ya ovulation.

Hata mie tatizo langu kubwa liko hapo.Na ninacho taka hasa is the theory behind.
Nilipokuwa nasoma,tulikuwa tunasema ovulation inatokea siku ya kumi na nne toka kuanza kwa bleeding.
Kunguru mweupe akasema NO,ni siku ya kumi na tano ukianza kuhesabu siku moja kabla ya kuanza kubleed tena.Hii ya pili inajitahidi kujibu maswali mengi.
Mwingine leo anasema unahesabu siku 7 baada ya kumaliza kubleed ndo mtu ana ovulate.

Mimi ninachouliza kinachoangaliwa hapa ni nini mpaka watu wakaja na theory hizi.
Kwa mfano,mtu atoe sababu za kuisayansi kwa nini tuhesabu siku 15 tokea mwisho,au 14 tokea mwanzo wa cycle,au siku saba baada ya kumaliza kubleed ndo tuipate siku anayo ovulate.
Please kwa anaejua.
 
Mhhh Hiyo ya mwanamke mwenye circle ya 21 imekaaje? mbona imenitia shaka kidogo?
 
Utakuwa umesahau...labda au hujui kama ndio umeota hivyo..ukafikiri ni joto tu la usiku....lakini normal and avarage women anapata...nyakati za usiku.....utamisikia akijinyonga kama vile anamezwa na chatu...aki scratch mapaja yake...

Hizo ni tips tu za what happen..na ukija jicheck au kwa wale ambao tumeshawahi waangalia utakuwa amekuwa wet kiasi cha kutosha...

mzee hadi unakula chabo?
 
wajameni naomba kuuliza jinsi ya kupata watoto mapacha wa jinsia tofauti ntawapata vipi? naombeni formular
 
wajameni naomba kuuliza jinsi ya kupata watoto mapacha wa jinsia tofauti ntawapata vipi? naombeni formular

jaribu kucheki na mambo ya kikubwa au jf doka kuna thread imenyumbulisha kiundani zaidi. waweza kupata fomula
 
Kanisa katoliki huwa linaaandaa semina maalumu kwa ajili ya wachumba kabla ya kufunga ndoa na moja wapo ya mada ni siku gani na wakati gani mwanamke anaweza kupata mimba. as Dr shayo ambavyo anachambua na kutaja majina ya via vya uzazi bila kificho.

nilirudi kwenye mada

wanawake wapo katika siku au mzungunguko ufuatao

1: siku 21

2: siku 28

3: siku 30

4: siku 34

5: na kuendelea kuna wengine wanaenda kila baada ya siku arobaini na wengine wanaenda kila baada ya siku kumi na nane na kadhalika

hivyo basi kila mwanamke ana jinsi yake ya kupata mimba

1: MWENYE SIKU 21

JINSI YA KUHESABU HAPA NI KWAMBA : yai huchukua siku kumi na nne kutoka mara baada ya kukosa virutubisho. hivyo hesabu kuanzia siku ya kwanza aliyoanza kubleed mpaka siku ya 6,7,8

hivyo basi kwa mwanamke huyu siku za kupata mimba ni siku ya 6, 7 na 8 ukikosa hapo ndo basi hadi usubili mwezi mwingine


2: MWENYE SIKU 28

hesabu kuanzia siku aliyoanza kubleed na ukifika siku ya 13,14, 15 hizi ndio siku zake za kupata mimba.


3: MWENYE SIKU 30

SIKU ZAKE NI 15,16, NA 17


NI MIMI

NZI MCHANA USIKU MBU HAKUNA KULALA

Kazi ipo.
 
Hata mie tatizo langu kubwa liko hapo.Na ninacho taka hasa is the theory behind.
Nilipokuwa nasoma,tulikuwa tunasema ovulation inatokea siku ya kumi na nne toka kuanza kwa bleeding.
Kunguru mweupe akasema NO,ni siku ya kumi na tano ukianza kuhesabu siku moja kabla ya kuanza kubleed tena.Hii ya pili inajitahidi kujibu maswali mengi.
Mwingine leo anasema unahesabu siku 7 baada ya kumaliza kubleed ndo mtu ana ovulate.

Mimi ninachouliza kinachoangaliwa hapa ni nini mpaka watu wakaja na theory hizi.
Kwa mfano,mtu atoe sababu za kuisayansi kwa nini tuhesabu siku 15 tokea mwisho,au 14 tokea mwanzo wa cycle,au siku saba baada ya kumaliza kubleed ndo tuipate siku anayo ovulate.
Please kwa anaejua.
Kwanza la kupaswa kujua ni kwamba, kuna watu wana mizunguko tofauti, 21, 28 na mizunguko mirefu more days than that. Natumain nikisema hvyo mnanipata, 2chukulie 28 ambayo ni ya wengi, kwa hapa wanakuambia kuwa cku ya 14 from siku ya kwanza kuona tone la kwanza ktk huo mwezi, kama mzunguko wako haujavurugika, ndiyo cku ya KUPEVUKA KWA YAI OVULATION kwa lugha ya weupe, na watu wengi wamekariri kuwa ukiduu cku iyo ndo utapata mimba, mnapinga tena sana. Kuanzia cku ya KUMI b
 
Hata mie tatizo langu kubwa liko hapo.Na ninacho taka hasa is the theory behind.
Nilipokuwa nasoma,tulikuwa tunasema ovulation inatokea siku ya kumi na nne toka kuanza kwa bleeding.
Kunguru mweupe akasema NO,ni siku ya kumi na tano ukianza kuhesabu siku moja kabla ya kuanza kubleed tena.Hii ya pili inajitahidi kujibu maswali mengi.
Mwingine leo anasema unahesabu siku 7 baada ya kumaliza kubleed ndo mtu ana ovulate.

Mimi ninachouliza kinachoangaliwa hapa ni nini mpaka watu wakaja na theory hizi.
Kwa mfano,mtu atoe sababu za kuisayansi kwa nini tuhesabu siku 15 tokea mwisho,au 14 tokea mwanzo wa cycle,au siku saba baada ya kumaliza kubleed ndo tuipate siku anayo ovulate.
Please kwa anaejua.
Kwanza la kupaswa kujua ni kwamba, kuna watu wana mizunguko tofauti, 21, 28 na mizunguko mirefu more days than that. Natumain nikisema hvyo mnanipata, 2chukulie 28 ambayo ni ya wengi, kwa hapa wanakuambia kuwa cku ya 14 from siku ya kwanza kuona tone la kwanza ktk huo mwezi, kama mzunguko wako haujavurugika, ndiyo cku ya KUPEVUKA KWA YAI OVULATION kwa lugha ya weupe, na watu wengi wamekariri kuwa ukiduu cku iyo ndo utapata mimba, mnaping tena sana. Kuanzia cku ya KUMI
 
Back
Top Bottom