C.T.U
JF-Expert Member
- Jun 1, 2011
- 5,070
- 3,718
- Thread starter
- #21
huyo mkuu wenu wa kaya siku ya mabomu watu wamekufa akawa anaongea huku anacheka chekahapo kwenye bold umekosea sana, unazani anajali????? Kwani nani alikuambia sasa ivi tanzania tuna serikali??? Tuna washehereshaji tu. Kama huyo rahisi wako hakujali vifo vya watu kutokana na mgomo wa madaktari kwa zaidi ya wiki tatu, sembuse huyo mwanamke kunyanyaswa kijinsia? Nothing will happen, kwanza ndo kesho anaruka kwenda ........................!!!!!
[/b]