Wanawake wanaofika miaka 30 na hawajaolewa wanajishusha sana kiasi cha kushangaza, zile nyodo na kujiona matawi zinayeyuka

R-K-O

JF-Expert Member
Jun 27, 2023
482
2,138
Nimeshajionea mara kadhaa hasa hizi pisi za chini ya miaka 26 huwa wanajiona dunia ni yao na wa kupanga vigezo ni wao.

Kuwa approach mabinti wa umri huu wengi mkizinguana kidogo tu hawaoni shida ku break up, usipokuwa na gari ama vimali ni ngumu kumpata, n.k.

wafika 30 sasa ndio utaanza kuona vimbweka, ni muda ambao hata chai ya kwenye friji inalainisha andazi.

wao ndio huanza kujilengesha hapa na sio siri kwa wanaume wanaowajua wanachopitia huwageuza sehemu ya kuahidi ndoa, wakichapa wanasepa wanaenda kwa wengine.

Nina class mate wangu wa form 5 hadi tunamaliza wote degree alinipa nyodo sana maana kwakweli alikuwa mzuri na alijua hilo akaona sina nafasi kwake kwa hali yangu kiuchumi kwa enzi zile, niliwahi kutupa ndoano ila niliishia kula nyundo za mbavu. Ajabu ni kwamba baada ya miaka kadhaa kuna siku nipo whatsapp nakutana na mesej yake kunijulia hali ilinishangaza, nilishajua namna ya kuucheza mchezo nilijifanya mjinga nicheze kama alivyodhania, kimasihara kabisa kwa gharama ndogo sana nilimla na nikampiga nikampa makavu kwamba mimi nilikuwa namtamani tu, nyodo zake za zamani ndio zilinipa moto wa kumsasambua, ndoa niliyomwambia nilimpiga a,e,i,o,u nikatokomea.

Kiufupi nilipata habari baada yangu ndani ya miaka miwili hivi kuna wadau wengine wawili nawajua waliweza kupata joto na kusepa, ila jitihada zake hazikwenda bure kuna askari alimuelewa akaoana nae na sasa wana mtoto moja.
 
Nimeshajionea mara kadhaa hasa hizi pisi za chini ya miaka 26 huwa wanajiona dunia ni yao na wa kupanga vigezo ni wao.

Kuwa approach mabinti wa umri huu wengi mkizinguana kidogo tu hawaoni shida ku break up, usipokuwa na gari ama vimali ni ngumu kumpata, n.k.

wafika 30 sasa ndio utaanza kuona vimbweka, ni muda ambao hata chai ya kwenye friji inalainisha andazi.

wao ndio huanza kujilengesha hapa na sio siri kwa wanaume wanaowajua wanachopitia huwageuza sehemu ya kuahidi ndoa, wakichapa wanasepa wanaenda kwa wengine.

Nina class mate wangu wa form 5 hadi tunamaliza wote degree alinipa nyodo sana maana kwakweli alikuwa mzuri na alijua hilo akaona sina nafasi kwake kwa hali yangu kiuchumi kwa enzi zile, niliwahi kutupa ndoano ila niliishia kula nyundo za mbavu. Ajabu ni kwamba baada ya miaka kadhaa kuna siku nipo whatsapp nakutana na mesej yake kunijulia hali ilinishangaza, nilishajua namna ya kuucheza mchezo nilijifanya mjinga nicheze kama alivyodhania, kimasihara kabisa kwa gharama ndogo sana nilimla na nikampiga nikampa makavu kwamba mimi nilikuwa namtamani tu, nyodo zake za zamani ndio zilinipa moto wa kumsasambua, ndoa niliyomwambia nilimpiga a,e,i,o,u nikatokomea.


Kiufupi nilipata habari baada yangu ndani ya miaka miwili hivi kuna wadau wengine wawili nawajua waliweza kupata joto na kusepa, ila jitihada zake hazikwenda bure kuna askari alimuelewa akaoana nae na sasa wana mtoto moja.
a e i o u hahahaha
 
Nimeshajionea mara kadhaa hasa hizi pisi za chini ya miaka 26 huwa wanajiona dunia ni yao na wa kupanga vigezo ni wao.

Kuwa approach mabinti wa umri huu wengi mkizinguana kidogo tu hawaoni shida ku break up, usipokuwa na gari ama vimali ni ngumu kumpata, n.k.

wafika 30 sasa ndio utaanza kuona vimbweka, ni muda ambao hata chai ya kwenye friji inalainisha andazi.

wao ndio huanza kujilengesha hapa na sio siri kwa wanaume wanaowajua wanachopitia huwageuza sehemu ya kuahidi ndoa, wakichapa wanasepa wanaenda kwa wengine.

Nina class mate wangu wa form 5 hadi tunamaliza wote degree alinipa nyodo sana maana kwakweli alikuwa mzuri na alijua hilo akaona sina nafasi kwake kwa hali yangu kiuchumi kwa enzi zile, niliwahi kutupa ndoano ila niliishia kula nyundo za mbavu. Ajabu ni kwamba baada ya miaka kadhaa kuna siku nipo whatsapp nakutana na mesej yake kunijulia hali ilinishangaza, nilishajua namna ya kuucheza mchezo nilijifanya mjinga nicheze kama alivyodhania, kimasihara kabisa kwa gharama ndogo sana nilimla na nikampiga nikampa makavu kwamba mimi nilikuwa namtamani tu, nyodo zake za zamani ndio zilinipa moto wa kumsasambua, ndoa niliyomwambia nilimpiga a,e,i,o,u nikatokomea.


Kiufupi nilipata habari baada yangu ndani ya miaka miwili hivi kuna wadau wengine wawili nawajua waliweza kupata joto na kusepa, ila jitihada zake hazikwenda bure kuna askari alimuelewa akaoana nae na sasa wana mtoto moja.
Hawa wanaitwa wapigania uhuru wa jamhuri
 
Miss Aaliyyah . Soma huu Ujumbe hata kama utafikisha Miaka 40.... 😃😃😃

There is no reason you should feel like this
I know that I am the only one to blame
I feel your agony, it's hidden in your kiss
Ooh
I don't believe that things are said and done
I only hope there's still time to be the one
We could work it out if only you let me
Ooh
Whatever you say, whatever you do
There will be good times waiting for you
Whatever you hear, I won't disappear
I promise you that
I promise you that
I never said that I could change the world
But if you gave me the chance that I deserve
I know that in your heart
You can forgive me
Ooh
Whatever you say, whatever you do
There will be good times waiting for you
Whatever you hear, I won't disappear
I promise you that
I promise you that
We had times only a fool could miss
Still there is time to turn it around
I'm not saying it's an easy thing
Let me show you
I promise you that
Ooh, yeah
Whatever, whenever
There will be good times waiting
(There will be good times)
Whatever you hear (Whatever you hear)
I won't disappear
Whatever you say, whatever you do
There will be good times waiting for you
(There will be good times)
Whatever you hear, I won't disappear (Ooh)
Whatever you say (Whatever)
Whatever you do (Whenever)
There will be good times
(There will be good times waiting for you)
There will be good times (Whatever you hear)
I won't disappear
I promise you that
I promise you that
Whatever you hear, I won't disappear
I promise you that
I promise you that
 
Hususani weupe au wenye matako makubwa huwa wanadhani kwamba wao ndiyo kila kitu katika hii dunia.

Wakifikisha 30+ Wanaishia kuwa bar maids. Wakifikisha 40+ wanageuka wauza mahindi ya kuchoma kando ya barabara. Walifikia 50+ wanakuwa wamepigika to the fucking extent, wanageuka mashemasi na wafanya usafi kwenye haya makanisa ya manabii wa uongo
 
Nimeshajionea mara kadhaa hasa hizi pisi za chini ya miaka 26 huwa wanajiona dunia ni yao na wa kupanga vigezo ni wao.

Kuwa approach mabinti wa umri huu wengi mkizinguana kidogo tu hawaoni shida ku break up, usipokuwa na gari ama vimali ni ngumu kumpata, n.k.

wafika 30 sasa ndio utaanza kuona vimbweka, ni muda ambao hata chai ya kwenye friji inalainisha andazi.

wao ndio huanza kujilengesha hapa na sio siri kwa wanaume wanaowajua wanachopitia huwageuza sehemu ya kuahidi ndoa, wakichapa wanasepa wanaenda kwa wengine.

Nina class mate wangu wa form 5 hadi tunamaliza wote degree alinipa nyodo sana maana kwakweli alikuwa mzuri na alijua hilo akaona sina nafasi kwake kwa hali yangu kiuchumi kwa enzi zile, niliwahi kutupa ndoano ila niliishia kula nyundo za mbavu. Ajabu ni kwamba baada ya miaka kadhaa kuna siku nipo whatsapp nakutana na mesej yake kunijulia hali ilinishangaza, nilishajua namna ya kuucheza mchezo nilijifanya mjinga nicheze kama alivyodhania, kimasihara kabisa kwa gharama ndogo sana nilimla na nikampiga nikampa makavu kwamba mimi nilikuwa namtamani tu, nyodo zake za zamani ndio zilinipa moto wa kumsasambua, ndoa niliyomwambia nilimpiga a,e,i,o,u nikatokomea.


Kiufupi nilipata habari baada yangu ndani ya miaka miwili hivi kuna wadau wengine wawili nawajua waliweza kupata joto na kusepa, ila jitihada zake hazikwenda bure kuna askari alimuelewa akaoana nae na sasa wana mtoto moja.
we jinsia gani, mbona una shida na watoto wa watu.
 
Hiyo inasabibishwa na vitu vingi, kimoja wapo ni Sexual drive.

Kwa wanawake hamu ya ngono(sexual libido) inaongezeka wanapo-approach menopause.
Ina Peak around 40.

(Kwa wanaume libido inakuwa kubwa 20s mpaka 30 huko.)

Ndio sababu wadada wenye miaka around 20 wanaringa sana.
Ila wenzao wa 30 nakuendelea hawana hizo.


Hii ni kwa mjibu wa Tafiti.
 
Miss Aaliyyah . Soma huu Ujumbe hata kama utafikisha Miaka 40.... 😃😃😃

There is no reason you should feel like this
I know that I am the only one to blame
I feel your agony, it's hidden in your kiss
Ooh
I don't believe that things are said and done
I only hope there's still time to be the one
We could work it out if only you let me
Ooh
Whatever you say, whatever you do
There will be good times waiting for you
Whatever you hear, I won't disappear
I promise you that
I promise you that
I never said that I could change the world
But if you gave me the chance that I deserve
I know that in your heart
You can forgive me
Ooh
Whatever you say, whatever you do
There will be good times waiting for you
Whatever you hear, I won't disappear
I promise you that
I promise you that
We had times only a fool could miss
Still there is time to turn it around
I'm not saying it's an easy thing
Let me show you
I promise you that
Ooh, yeah
Whatever, whenever
There will be good times waiting
(There will be good times)
Whatever you hear (Whatever you hear)
I won't disappear
Whatever you say, whatever you do
There will be good times waiting for you
(There will be good times)
Whatever you hear, I won't disappear (Ooh)
Whatever you say (Whatever)
Whatever you do (Whenever)
There will be good times
(There will be good times waiting for you)
There will be good times (Whatever you hear)
I won't disappear
I promise you that
I promise you that
Whatever you hear, I won't disappear
I promise you that
I promise you that
Oy mshamba_hachekwi tuifanye nini hii kigoda🤔🤣😂😂😂.
👉 Ms eyes I will love you alone🤗, .
👉 Naona Manyanza ana mpenda Sana Aaliyyah 🤒
 
Back
Top Bottom