Habari wanajf
Unajua Mungu kamuumba Mwanamke nakawaekea silaha kubwa sana, Mwanamke akitumia hizo silaha anaweza kuwin moyo wa mwanaume kirahisi kabisa na Mwanaume kumtii yeye huna haja hata ya kwenda kwa mganga wakati mganga ni wewe mwenyewe.
Nyinyi wanawake mna nguvu kubwa kuliko hata sisi Wanaume sijui mnakwama wapi? Ngoja niwape mfano halisi kuna manzi mmoja wa kislamu nilimtamani alikuwa ana tako na yupo vizuri kifuani lakini alikuwa wakawaida usoni nilitaka tu nipige tu alafu nisepe lakini baada ya kufanikiwa kumgonga nilijikuta nabadilisha mtazamo au malengo yule manzi alikuwa vizuri Sana on bed kiasi ambacho ukishamgonga utamani Tena kufanya sex wiki mbili, ukishamaliza kufanya nae sex aondoki ghetto bila kusafisha au kufanya usafi na akuombi hela sometime mimi tu najiongeza nampa wakati mwingine hanakataa nikajikuta ninampenda sio Tena kumtamani na yeye alinipenda Sana, ukimwita ghetto hana complicated anakuja tu sex anakupa bila tatizo na hakuombi nauli ya kuja.
Huyu manzi alikuwa ni mzaramo na nimuongeaji Sana akiwa nje uko lakini akiwa nami ni sawa na mkate kwenye chai mpaka nashangaa Sana marafiki zangu walikuwa wananiambia kwanini unakuwa na demu muongeaji kwa huyo lakini walikuwa hawajui huyu manzi akiwa nami anakuaje sijui wanakuwaga wanafundwaga.
Katika mademu niliwahi kudate nao huyu pekee yake alikuwa wa kawaida yaani si mzuri lakini moja ya manzi Nilimpenda mno kwangu alikuwa namuona kama kim kardashian au Rihanna na uniambii kitu kwake na ni mmoja Kati ya dsmu niliyemuhudumia Sana ingawa alikuwa aniombi pesa.
Huyu manzi ni Kati ya Wanawake wachache wanaojua kutumia silaha niliokuwa nazungumzia kwa wale walikuwa wameshindwa kuelewa kwenye mfano wangu halisi ni hizi
✓Sex, mwanaume ukimpa uhuru kwenye Hili eneo ukawa unampa akiwa anataka utaweza kumcontrol vizuri
✓Heshima na utii, ukiwa na hivi utapendwa Sana na mwanaume
✓Smart kichwani, ukiwa na mawazo mazuri ya kumpa mwanaume atakujali na atakuthamini
✓Mvumilivu, kuweza kuvumilia kwenye nyakati ngumu mnazopitia mwanaume atakuconsider kama wife material wake
✓Upendo, Wanaume wengi wanapenda wanawake wenye upendo wa dhati si wale ambao wapo after money wale ambao wapo after money watawatumia kingono watakuja kuoa wengine wenye upendo wa dhati.
NB: Wale wanawake wanaojua kutumia uwanawake wao vizuri siku zote hawatumii nguvu unakuta tu wanawin Wanaume mpaka inafika hatua Wanachorwa kwenye tattoo na wanaume wao.Ukikuta mwanamke analalamika mwanaume wake ni mbahili hamuhudumii ujue huyo mwanamke yupo kwenye kundi ambalo hawatumii silaha hata kama unampango wakuwa nae jihoji Mara mbili mbili.
QueenDeby
Lovelovie
lovel
DeepPond
Yna2
joseph1989
Unajua Mungu kamuumba Mwanamke nakawaekea silaha kubwa sana, Mwanamke akitumia hizo silaha anaweza kuwin moyo wa mwanaume kirahisi kabisa na Mwanaume kumtii yeye huna haja hata ya kwenda kwa mganga wakati mganga ni wewe mwenyewe.
Nyinyi wanawake mna nguvu kubwa kuliko hata sisi Wanaume sijui mnakwama wapi? Ngoja niwape mfano halisi kuna manzi mmoja wa kislamu nilimtamani alikuwa ana tako na yupo vizuri kifuani lakini alikuwa wakawaida usoni nilitaka tu nipige tu alafu nisepe lakini baada ya kufanikiwa kumgonga nilijikuta nabadilisha mtazamo au malengo yule manzi alikuwa vizuri Sana on bed kiasi ambacho ukishamgonga utamani Tena kufanya sex wiki mbili, ukishamaliza kufanya nae sex aondoki ghetto bila kusafisha au kufanya usafi na akuombi hela sometime mimi tu najiongeza nampa wakati mwingine hanakataa nikajikuta ninampenda sio Tena kumtamani na yeye alinipenda Sana, ukimwita ghetto hana complicated anakuja tu sex anakupa bila tatizo na hakuombi nauli ya kuja.
Huyu manzi alikuwa ni mzaramo na nimuongeaji Sana akiwa nje uko lakini akiwa nami ni sawa na mkate kwenye chai mpaka nashangaa Sana marafiki zangu walikuwa wananiambia kwanini unakuwa na demu muongeaji kwa huyo lakini walikuwa hawajui huyu manzi akiwa nami anakuaje sijui wanakuwaga wanafundwaga.
Katika mademu niliwahi kudate nao huyu pekee yake alikuwa wa kawaida yaani si mzuri lakini moja ya manzi Nilimpenda mno kwangu alikuwa namuona kama kim kardashian au Rihanna na uniambii kitu kwake na ni mmoja Kati ya dsmu niliyemuhudumia Sana ingawa alikuwa aniombi pesa.
Huyu manzi ni Kati ya Wanawake wachache wanaojua kutumia silaha niliokuwa nazungumzia kwa wale walikuwa wameshindwa kuelewa kwenye mfano wangu halisi ni hizi
✓Sex, mwanaume ukimpa uhuru kwenye Hili eneo ukawa unampa akiwa anataka utaweza kumcontrol vizuri
✓Heshima na utii, ukiwa na hivi utapendwa Sana na mwanaume
✓Smart kichwani, ukiwa na mawazo mazuri ya kumpa mwanaume atakujali na atakuthamini
✓Mvumilivu, kuweza kuvumilia kwenye nyakati ngumu mnazopitia mwanaume atakuconsider kama wife material wake
✓Upendo, Wanaume wengi wanapenda wanawake wenye upendo wa dhati si wale ambao wapo after money wale ambao wapo after money watawatumia kingono watakuja kuoa wengine wenye upendo wa dhati.
NB: Wale wanawake wanaojua kutumia uwanawake wao vizuri siku zote hawatumii nguvu unakuta tu wanawin Wanaume mpaka inafika hatua Wanachorwa kwenye tattoo na wanaume wao.Ukikuta mwanamke analalamika mwanaume wake ni mbahili hamuhudumii ujue huyo mwanamke yupo kwenye kundi ambalo hawatumii silaha hata kama unampango wakuwa nae jihoji Mara mbili mbili.
QueenDeby
Lovelovie
lovel
DeepPond
Yna2
joseph1989