mkataapema
Senior Member
- Apr 11, 2011
- 108
- 53
Haya mambo ni cycle lakini! Mwanamke aliyeolewa analiwa na Ex wake,mwanamme anayekula Ex mke wake analiwa na Ex! Ikawa asubuhi ikawa jioni siku ya 365!
Mali ya watu haichezewi achana nayoKivp mkuu
AmeeenImani yako imekuponya. BWAANA awe nawe.
Mkuu ni kweli lakin asilimia kubwa ya wanaochezewa hua hawasemi kama ni mali ya mtu na baada ya game ndio huweka mambo wazi
yani uyu ukimkata insmpeleka kwanza camp zeni unampa tifu co la nchi hiii maninaaa unampitishia waya wa msikaki ule wa moto kwny kipofu chake cha mkojo afu unamwambia nenda.....Haya sasa...
1. Mwanajeshi mwenye cheo cha Luteni
2. Anayeishi mtwara
3. Mwenye watoto wawili na mke mwenye wazazi Dar...
Anza kufuatilia mwizi wako huku
Hahahaha...! mke hachunguzwi.Nimeoa tiari mkuu ila kwa utafiti huu nlioufanya naunda tume imchunguze
Ulie achana nae hasa uliemfunua hana ujanja ipo siku lazima akukumbuke hasa anapopanga panga mahesabu ya waliompitia akigusa kwako hasa kama aliuzimikia mziki lazima aruke hewani mkuu so ni kawaida sanaHabari wakuu,
Kuna kautafit kadogo nmefanya na nmegundua asilimia kubwa ya wanawake waliopo ndoani hawana ujanja wa kuwakwepa ex waliompenda na wakaachana kwa sababu flan na badae kuolewa na mwingine tena wengi wao humtafuta ex wenyewe.
Binafs yamenikuta, kuna dada tulikua kwenye mahusiano lakin badae tulitofautiana tukaacha bila ata kushiriki mchezo,baada ya mda aliolewa nkamsahau kabisa lakin miaka miwil badae alinipigia simu na akajitambulisha yy n flan,m nkamuliza umeipata wap no yangu kajibu ipo kichwan mwake na hawez isahau,
Nkammwambiwe we n mke wa mtu sasa cyo vizur kuwasiliana tena,kajibu ata mmewe anajua mm na yy tuna mawasiliano na amna tatizo.
Mwingine nae nliewai kua nae na Mzigo nlipigaga sana badae tukazinguana tukatemana, na akaja olewa na mwanangu mmoja iv,ss majuz kantext.
Hii imekaaje wakuu maana inaaminika wanawake walio olewa ni waaminifu sana Lakini kwa hili nawapunguzia point.
Wanawake wa jf hii inawahusu sana..
NAWASILISHA
Mkuu huu ni ukweli mchungu...tena wanaliwa mbayaa...
Ninaye mke tena wa ndoa na watoto wawili ninachomwambia ni tueshimiane!Nina mashaka kama mke, mgangawaukoo.
anasex peke yake au na mwanaume? iwe mwanaume au mwanamke utakiwi kufanya tendo la ndoa kabla ya ndoa.Angejitambua ungemkuta bikra mkuu.
Zaidi ya hapo ni porojo tuu. Mwanamke anayejitambua hawezi kusex kabla ya ndoa.