Tuko
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 11,178
- 7,320
Nilihudhuria harusi moja, wakati naingia nikakuta upande wa familia ya mwanaharusi mmoja wanacheza ngoma ya kikwao.. Japo walionekana kujitutumua na kuonyesha furaha, niliweza kusoma sense ya kutojiamini, uoga na huzuni miongoni mwa wanawake hali iliyojijumlisha ikaleta mwonekano wa kukata tamaa ya maisha.
Nikauliza ngoma ya wapi hii, nikaambiwa ya Kikurya, nikadhani labda maudhui yake yalikuwa ya huzuni. Ghafla ikaunganishwa na wimbo utamu wa yesu, still nikaona sura za huzuni zinatawala wanawake wale...
Baada ya mjadala mfupi na wenzangu, tukagundua kuwa majority yao walitokea kijijini huko Tarime, na wanawake kupigwa na kunyanyaswa imewafanya waonekane watu wa huzuni na unfriendly...
Hivi wanaume wa Musoma na wengine wote mnaopiga wake zenu, can't you just BOLD your arguments na mkapata kuheshimiwa bila kuwapiga wanawake??!!!
Hili jambo unaweza kulichukulia simple kama hauexperience, but kwa wale wanaoona ndugu zao, marafiki zao, mashemeji zao wanavyonyanyaswa au hata wao wenyewe wataungana nami kutetea sana haki za wanawake hawa...
Nikauliza ngoma ya wapi hii, nikaambiwa ya Kikurya, nikadhani labda maudhui yake yalikuwa ya huzuni. Ghafla ikaunganishwa na wimbo utamu wa yesu, still nikaona sura za huzuni zinatawala wanawake wale...
Baada ya mjadala mfupi na wenzangu, tukagundua kuwa majority yao walitokea kijijini huko Tarime, na wanawake kupigwa na kunyanyaswa imewafanya waonekane watu wa huzuni na unfriendly...
Hivi wanaume wa Musoma na wengine wote mnaopiga wake zenu, can't you just BOLD your arguments na mkapata kuheshimiwa bila kuwapiga wanawake??!!!
Hili jambo unaweza kulichukulia simple kama hauexperience, but kwa wale wanaoona ndugu zao, marafiki zao, mashemeji zao wanavyonyanyaswa au hata wao wenyewe wataungana nami kutetea sana haki za wanawake hawa...