Mbimbinho
JF-Expert Member
- Aug 1, 2009
- 8,316
- 7,734
Katika pita pita yangu angani, nimekutana na hii habari,
uchunguzi mpya uliofanywa na kiwada kimoja cha CONDOM nchini UINGEREZA umeonyesha kwamba, wanawake wa NIGERIA, wanaongoza kwa kutokua waaminifu kwenye mapenzi DUNIANI.
gazeti la DAILY NEWS naija, limeandika kwamba Uchunguzi huo ulifanywa na kiwanda cha DUREX, ambapo wanaoshika nafasi ya pili ni THAILANDA, huku wanawake wa MALAYSIA wakishika nafasi ya tatu, ya nne ni URUSI, namba5 waHONG KONG.
Hongereni dada zetu wa kibongo kwa kutokuwa top 5
uchunguzi mpya uliofanywa na kiwada kimoja cha CONDOM nchini UINGEREZA umeonyesha kwamba, wanawake wa NIGERIA, wanaongoza kwa kutokua waaminifu kwenye mapenzi DUNIANI.
gazeti la DAILY NEWS naija, limeandika kwamba Uchunguzi huo ulifanywa na kiwanda cha DUREX, ambapo wanaoshika nafasi ya pili ni THAILANDA, huku wanawake wa MALAYSIA wakishika nafasi ya tatu, ya nne ni URUSI, namba5 waHONG KONG.
Hongereni dada zetu wa kibongo kwa kutokuwa top 5