Wanawake wa Dar wanaongoza kwa kuvaa mawigi na vitambi

We ke au me maana kutofautisha ke au me kwa Dar nayo ni kipaji maana wote level moja.
 
Heheheh ukiwagusia mitumbo yao utasikia inakuhusu nini
Ule mtumbo du
 
Mawigi iwe mara moja moja,either la kuvaa or kushonea ama kubandika..Co masaa 24 wiki nzima,miezi 12 uko na mawigi kichwani tu.Haipendezi
wengi hawajiamini na urembo wao wa asili wanauharibu sabb ya hivi vitu fekero..Utakuta anaweka wigi mwezi mzima sasa zile nywele zake za asili zinakuwa zimebanwa,hazipat mafuta,mba kibao na mwisho zinaharibika..Vile vile kucha za bandia zinaharibu kucha zako halisi,mikorogo,kope,makalio,mboni,...Jikubali kama ulivo
 
Haya mwafaka nini maana hata wanaume nao wengi tu wanavitambi au mayenu hayo .Kwenye makeup ndio kwanza wanaume wamezama .Hii ndio bongo bwana.
 
Mawigi iwe mara moja moja,either la kuvaa or kushonea ama kubandika..Co masaa 24 wiki nzima,miezi 12 uko na mawigi kichwani tu.Haipendezi
wengi hawajiamini na urembo wao wa asili wanauharibu sabb ya hivi vitu fekero..Utakuta anaweka wigi mwezi mzima sasa zile nywele zake za asili zinakuwa zimebanwa,hazipat mafuta,mba kibao na mwisho zinaharibika..Vile vile kucha za bandia zinaharibu kucha zako halisi,mikorogo,kope,makalio,mboni,...Jikubali kama ulivo

na kope za bandia akiwa anakutazama yale macho yake yanampepea tu,
 
Kwa anaeishi Dar atakubaliana nami, hebu hapo ulipo kama upo Dar geuka kushoto,kulia,nyuma, mbele, nipe hesabu ya wanawake waliovaa mawigi na wenye vitambi,

Source mimi mwenyewe niko manzese
Tena vitambi ndiyo balaa
 
Back
Top Bottom