Lovebird
JF-Expert Member
- Sep 27, 2012
- 5,788
- 7,752
Wameandamana kupinga kuibiwa waume zao na wanawake wa kitanga ambao kwa hivi sasa wameibukia unguja.
wanaitaka jamii iwaonye waacha kuwaiba waume zao.....mapenzi yalianzia Tanga ....waunguja wanahofia hali ikiendelea waume zao hawatoonekana home na pia machotara wengi wataongezeka
......waume zetu msiwaguseeee...TENA mtukome mrudi kwenuuuuu
wanaitaka jamii iwaonye waacha kuwaiba waume zao.....mapenzi yalianzia Tanga ....waunguja wanahofia hali ikiendelea waume zao hawatoonekana home na pia machotara wengi wataongezeka
......waume zetu msiwaguseeee...TENA mtukome mrudi kwenuuuuu