Loading failed
JF-Expert Member
- Sep 14, 2023
- 1,946
- 5,855
WanaJF
Kunamuda tamaa inakua juu sana, mtoto wa kike anakupa utamu na mkuyenge unasusa kutuna kwa lengo la kuzagamua, ndugu wanawake na wakisha jua mwamba mkuyenge umekususia anajifanya ndiyo kwanza amezidiwa utasikia niwekee ni wekee bana au chomeka huku akiushika kinamna kwa style ya kujiwekea ila hali bado imegoma.
Ndugu hiyo aibu utakayo toka nayo hapo itabidi tuu uvumilie kiume au uhonge hela za kutosha kumnyamazisha mrembo. Wengine wanafikia kuwanunulia wanawake magari makali na kuwajengea ili tuu wasiadhirike.
Ndugu zangu ombeni hii hali isije ikakukuta utajutia sana , yani lazima akili ikae hovyo kidogo, shauri yenu nyie msile, msiache mawazo na kufanya mazoezi mtajutia siku moja.
WANAWAKE TUSITIRINI WANAUME ZENU , TUBEBEENI HAYA MIOYONI MWENU HAIJALISHI TUNAWASEMA VIBAYA , TUVUMILIENI TUU MAANA NYIE NI WAVUMILIVU NDIYO MAANA MKAPEWA MIMBA NASIYO SISI
Kunamuda tamaa inakua juu sana, mtoto wa kike anakupa utamu na mkuyenge unasusa kutuna kwa lengo la kuzagamua, ndugu wanawake na wakisha jua mwamba mkuyenge umekususia anajifanya ndiyo kwanza amezidiwa utasikia niwekee ni wekee bana au chomeka huku akiushika kinamna kwa style ya kujiwekea ila hali bado imegoma.
Ndugu hiyo aibu utakayo toka nayo hapo itabidi tuu uvumilie kiume au uhonge hela za kutosha kumnyamazisha mrembo. Wengine wanafikia kuwanunulia wanawake magari makali na kuwajengea ili tuu wasiadhirike.
Ndugu zangu ombeni hii hali isije ikakukuta utajutia sana , yani lazima akili ikae hovyo kidogo, shauri yenu nyie msile, msiache mawazo na kufanya mazoezi mtajutia siku moja.
WANAWAKE TUSITIRINI WANAUME ZENU , TUBEBEENI HAYA MIOYONI MWENU HAIJALISHI TUNAWASEMA VIBAYA , TUVUMILIENI TUU MAANA NYIE NI WAVUMILIVU NDIYO MAANA MKAPEWA MIMBA NASIYO SISI