Wanawake siku zenu za kuringa ni chache sana

sema naye taratibu usiwe na hasira, yuko njiani bado kufika kwangu anaweza aka reverse haendeshi semi trella bali verossa.

Ni rahis ku turn over na akaja kwako. maneno yako tu yawe kuntu kwake utashinda
Hahahaha,maneno kuntu yote nishampa lkn naona ww unataka kuniharibia,tulia mwanakwetu
 
Hawa wanaojifanya kuringa nawapotezea sana maana najua tutakutana kwny fainali.
 
Hahahaha,maneno kuntu yote nishampa lkn naona ww unataka kuniharibia,tulia mwanakwetu
jaman kaja mwenyewe halafu kamtuma mshenga loooh unanionea mie mtoto wa mwanamke mwenzio.

Ongeza speed labda atakuelewa.

hahahahahahahah
 
Mmmh yani kuja watu wakikataliwa basi wanatamani kweli wakute wale waliowakataa maisha yao yamekuwa mabovu, wamechokaa. Jamani ukikataliwa wewe shukuru tu, ukubaliwe/upendwe na Kila mtu kwani wewe nani? Afu sometimes mtu kukukataa sio kwa sababu ni mbaya au umefulia, inawezekana tu hujapata kibali moyoni mwake, au possibly alikuwa kwenye mahusiano na mtu mwingine. Mambo ya kufurahia downfall ya mtu eishhh
kama unamkataa mtu mkatae for good sio siku ukisikia mambo yake poa unaanza kujipeleka kama kondooo au ukijua umekongoroka ndio unajifanya kumkubalia
 
mwanamke mwenye tabia ya kutoa mimba huwa anakongoroka kama gari la taka....
 
umeona enh...unanishaurije sasa nikamgegede au nimuache tuu
wewe naweeee, kwani alikuambia ukamgegede au mkapige story kama ulivyotuambia.

Hv inakuwaje unawaza huko tu? kama ni dili anataka kukupa utajuaje? na una uhakika gani kama hayuko vzr pia?

tujiongeze wakati mwingine sio kuwaza tu negative party.
 
kama unamkataa mtu mkatae for good sio siku ukisikia mambo yake poa unaanza kujipeleka kama kondooo au ukijua umekongoroka ndio unajifanya kumkubalia
Aah jamani inawezekana kipindi kile alikuwa na mtu. Sasa hivi yupo single na umerudi tena, akikukubali kuna tatizo?. Au labda hakuona kuwa upo serious muda ule lol. Kwani kukongoroka tatizo jamani, unamrudisha tu kwenye enzi yake
 
Aah jamani inawezekana kipindi kile alikuwa na mtu. Sasa hivi yupo single na umerudi tena, akikukubali kuna tatizo?. Au labda hakuona kuwa upo serious muda ule lol. Kwani kukongoroka tatizo jamani, unamrudisha tu kwenye enzi yake
yaani kama angekuwa bado yoko hot kama mwanzo ningekubaliana na wewe lakini hali aliyonayo no thank you
 
malizia basi story. ukakaa kwake akapika mkala kisha ukagonga ukasepa zako, sasa akikupigia hupokei.
Alafu mwanamke mtu mzima hujaonana nae miaka kumi kisha unataka umkute kama alivyokua miaka kumi ilopita? hujui kuna masahibu gani yalomkuta hapo katika kipindi hicho.

kupungua mwili sio ishu inawezekana kaamua kufnya dayati ili aendani na kasi ya maisha ya kisasa au alikuwa anafukuzia bwana wa kizungu na unajua wazungu wao hawataki manyama, au mambo ya kisukari na vidonda vya tumbo vinaweza kusababisha kushisha uzito kwa kiwango kikubwa sana.

Well said mkuu!
 
Back
Top Bottom