Sumba-Wanga
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 5,349
- 1,224
wakidada wenzangu,
Tulipokuwa shule utasikia mtu anasema; ooh mimi nasomewa, sina haja ya kuhangaika sijatumwa na kijiji! Hii imekwenda hadi tumefika Varsity, utakuwa mkaka ana allowance kama ya kwako, lakini umembana wee unakula pesa yake ( hata kusaidia kule kijijini kwao hawezi), wakati wewe yako ipo, na bado ukitaka kwenda Saloon unampa bill!
Kama hiyo haitoshi, kwenye maisha ya kaiwaida, mkaka anafanya kazi kama yako, mkija kwenye date basi yeye alipe kila kitu hadi tax, chakula (no wonder akitoka hapo lazime adia umpe ujira wake).
Haya ndani ya nyumba,m wote mnafanya kazi sawa, mnachangia, lakini kina kipindi unamwangalia yeye kama baba wa familia, pesa haipo basi yeye atajua anapata wapi, akikuuliza wewe unamwambia MIMI LABDA NIKAHONNGWE! Jamani wakina dada, hebu tujivue gamba!
Juzi juzi tumemsdakama bhoke wa BBA kwa nini? Alikosa mwelekeo, alionyesha piucha mbaya sana. Kwenye jumba la BBA kunataka mwanamke mbunifu, sio design zake yeye kujifanya anajua sana romance na kutongoza wanaume. Kwa kujilegeza kule kwa Nhoke utamlaumu ernest?
Issue ni nini? wanawake (baadhi) tujivue gamba, tuache kutegemea wanaume kupita kiasi, tusimame kwa miguu yetu, tuwe mfano, tuwe wachangiaji, sio wasindikizaji!
Natanguliza samahani kwa wale nitakaowakwaza!~
Tulipokuwa shule utasikia mtu anasema; ooh mimi nasomewa, sina haja ya kuhangaika sijatumwa na kijiji! Hii imekwenda hadi tumefika Varsity, utakuwa mkaka ana allowance kama ya kwako, lakini umembana wee unakula pesa yake ( hata kusaidia kule kijijini kwao hawezi), wakati wewe yako ipo, na bado ukitaka kwenda Saloon unampa bill!
Kama hiyo haitoshi, kwenye maisha ya kaiwaida, mkaka anafanya kazi kama yako, mkija kwenye date basi yeye alipe kila kitu hadi tax, chakula (no wonder akitoka hapo lazime adia umpe ujira wake).
Haya ndani ya nyumba,m wote mnafanya kazi sawa, mnachangia, lakini kina kipindi unamwangalia yeye kama baba wa familia, pesa haipo basi yeye atajua anapata wapi, akikuuliza wewe unamwambia MIMI LABDA NIKAHONNGWE! Jamani wakina dada, hebu tujivue gamba!
Juzi juzi tumemsdakama bhoke wa BBA kwa nini? Alikosa mwelekeo, alionyesha piucha mbaya sana. Kwenye jumba la BBA kunataka mwanamke mbunifu, sio design zake yeye kujifanya anajua sana romance na kutongoza wanaume. Kwa kujilegeza kule kwa Nhoke utamlaumu ernest?
Issue ni nini? wanawake (baadhi) tujivue gamba, tuache kutegemea wanaume kupita kiasi, tusimame kwa miguu yetu, tuwe mfano, tuwe wachangiaji, sio wasindikizaji!
Natanguliza samahani kwa wale nitakaowakwaza!~