obsesd
JF-Expert Member
- Nov 23, 2011
- 1,225
- 525
Utakuta mtu kakuona siku 2 au 3 mkisalimiana na bf wake au muwe wake bs kesho yake anakuja kukuattach et una nn na bf wangu we ni nan kwake! yan inaboa afu kisa anakuona uko competent zaid yake bs ful kujiami. jiamin mama kama ipo ipo tu, utakuwa unawaattach wangap ss dunian hapa mwishowe ni kama unajidharirisha tu. huyo m2 wako hakuish kisawan ana marafik wa primaly, o level, a level n vyuon. kwaio utakuwa m2 wa ivo had ln! kwel inaboa. jiamin mama kama ipo ipo tu. ni hayo tu.