Wanawake kuweni wasafi basi!

Khaaaa,
Mkuu hapa iweke vizuri mbona umetujumuisha wadada wote humo wakati umeona mmoja tu?
Kwa kumsaidia ungemwambia tu maana huku ujumbe hautafikia na ataendelea kujiona poa,
Pole kwa hilo japo km ukilinganisha na wakaka wanaotoa viharufu vya ajabu,
Idadi ya wakaka ni kubwa zaidi!

tena ukikuta mkaka anatoa harufu ni balaaaaaaaaa, bora hata ya mdada
 
Mkuu inaonekana, wewe unamind sana. Sasa fungua saluni mkeo awe anawafunda hao.Ikiwezekana hili lipelekwe Redio one kuna wadada wawili wanashirikiana na akina "Bibi Chau"na Malikia wa mipasho " Hadija Kopa" katika kipindi cha " .......KILA SIKU SAA 3 MPAKA SAA7...walijadili.
 
lakini daladala la mbagala mshkaji wangu duu lazima upande tuu hakuna jinsi!!! pole mtu wangu. ila wanaume nao kuna wakati viatu vinapumua
 
kama ni daladala la mbagala mshkaji lazma upande tuu hakuna ujanja ila wanaume nanyi kuweni wasafi kuna wakati mwingine viatu vinapumua
 
Kitu kingine uta muona mwanamke amependeza sura imeoshwa vizuri na kavaselin kana waka.
Angalia miguu,balaa hamu yote inaisha.
 
Back
Top Bottom