falcon mombasa
JF-Expert Member
- Mar 5, 2015
- 9,159
- 9,241
Wakuu,
Nimekuwa nikijiuliza hivi mashoga wana mvuto gani kwa wanawake na kina dada/vibinti vya College? Manake kwa tathmini ndogo tu saluni ya kike inayohudumiwa na mashoga ndiyo inayopata wateja wengi zaidi tena hata watu wazima.
Lakini kina wanawake haohao wamekuwa vinara wa kulalamika kuwa wanaibiwa waume zao na mashoga, tena cha ajabu hawa mashoga wamekuwa dili zaidi hata katika sherehe za wanawake hususani Kicheni party.
Leo nawauliza hivi nyie wanawake kuna raha gani mnaipata kukaa na mashoga au yale matusi wanayotukana hovyo hovyo au mashoga ni mafundi wazuri wa kutengeneza nywele zenu?
Na huko kwenye Kitchen party ina maana mashoga ni mahodari wa kuwafunda jinsi ya kuishi na waume zenu hata mambo ya kitandani? Ndo maana siku hizi namba ya wanawake wanaoliwa tigo (PETE) ni kubwa sana kuliko inavyodhaniwa.
Nimekuwa nikijiuliza hivi mashoga wana mvuto gani kwa wanawake na kina dada/vibinti vya College? Manake kwa tathmini ndogo tu saluni ya kike inayohudumiwa na mashoga ndiyo inayopata wateja wengi zaidi tena hata watu wazima.
Lakini kina wanawake haohao wamekuwa vinara wa kulalamika kuwa wanaibiwa waume zao na mashoga, tena cha ajabu hawa mashoga wamekuwa dili zaidi hata katika sherehe za wanawake hususani Kicheni party.
Leo nawauliza hivi nyie wanawake kuna raha gani mnaipata kukaa na mashoga au yale matusi wanayotukana hovyo hovyo au mashoga ni mafundi wazuri wa kutengeneza nywele zenu?
Na huko kwenye Kitchen party ina maana mashoga ni mahodari wa kuwafunda jinsi ya kuishi na waume zenu hata mambo ya kitandani? Ndo maana siku hizi namba ya wanawake wanaoliwa tigo (PETE) ni kubwa sana kuliko inavyodhaniwa.