kasichana
Member
- Oct 21, 2014
- 94
- 42
Nimewaza sana, na kufanya upembuzi yakinifu na Kugundua kuwa Wanawake Wengi hawaolewi kwasababu tu Wametaka iwe hivyo... Kwanini nasema hivyo:-
1. Kama wangetaka kuolewa basi wasingeweza kutoa unyumba bure bila masharti
2. Wengi wanataka wanaume waliofanikiwa sio wale watakaofanikiwa nao pamoja( hapa wanasubili kunyang'anya wachumba wa wenzao)
3. Wanapenda Kitonga sana mwisho wa siku wanaishia kupigwa miti na kila mtu( hivyo kuchafua cv zao kwa wanaume tarajiwa)
Hivyo kama wanawake wote wangeweka sharti la kutotoa unyumba mpk wanaolewa _Basi tungekuwa tunakula ubwabwa wa harusi kila uchao_ na wengi wangeolewa wakiwa na Bikra zao
Nawasilisha mtazamo
1. Kama wangetaka kuolewa basi wasingeweza kutoa unyumba bure bila masharti
2. Wengi wanataka wanaume waliofanikiwa sio wale watakaofanikiwa nao pamoja( hapa wanasubili kunyang'anya wachumba wa wenzao)
3. Wanapenda Kitonga sana mwisho wa siku wanaishia kupigwa miti na kila mtu( hivyo kuchafua cv zao kwa wanaume tarajiwa)
Hivyo kama wanawake wote wangeweka sharti la kutotoa unyumba mpk wanaolewa _Basi tungekuwa tunakula ubwabwa wa harusi kila uchao_ na wengi wangeolewa wakiwa na Bikra zao
Nawasilisha mtazamo