bigcell
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 219
- 60
Hivi hizi taasisi na vyama vyama vya wanawake tz imekaaje hii;
` WBA - bank ya wanawake Tz`
` WAMA- wanawake na maendeleo`
` KIWOHEDE- Kilimanjaro Women H.... Development.. Mtanisaidia hapo kwenye H wana jf kirefu chake nimesahau`
` MEWATA- Chama cha madaktari wanawke TZ`
` TAWLA - Chama cha sheria cha wanawake tz`
` TAMWA - chama cha waandishi wa habari wanawake tz`
Ipo siku tutasikia wanaunda Jeshi la kinamama Tz. na hii yote ni kuwabana wanaume sijui tumewakosea nini Mungu wangu.
kama kuna nyongeza wakuu karibuni.
` WBA - bank ya wanawake Tz`
` WAMA- wanawake na maendeleo`
` KIWOHEDE- Kilimanjaro Women H.... Development.. Mtanisaidia hapo kwenye H wana jf kirefu chake nimesahau`
` MEWATA- Chama cha madaktari wanawke TZ`
` TAWLA - Chama cha sheria cha wanawake tz`
` TAMWA - chama cha waandishi wa habari wanawake tz`
Ipo siku tutasikia wanaunda Jeshi la kinamama Tz. na hii yote ni kuwabana wanaume sijui tumewakosea nini Mungu wangu.
kama kuna nyongeza wakuu karibuni.