Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,322
- 33,126
Last edited by a moderator:
Mpenzi mimi ninatoa Dawa wewe kama una kojoa kitandani kajaribu Kwato la N'gombe litakusaidia tu au kama una mtoto wako anakojoa kitandani kajaribu ile dawa ya kwato la N'gombe litamsaidia mtoto wako kuacha kukojoa kitandani unasemaje? Jaribu dawa zangu.hahahahahah embu usinichekeshe mie,wewe mzizimkavu unatofauti gani na waganga wanaozungumziwa hapo????.....unatuzuga sana wana JF na tiba zako za makwato ya ng'ombe kupanda juu ya mti na kukojoa.....hahahhahahahahhahahahahahhahhaahhaah