Tanzania kila unayekutana naye na kila idara ya serikali utakayokwenda utaambiwa kuna watu wa Usalama na PCCB
Sasa inawezekana vipi watu wanafanya ufisadi wa kutisha kuanzia mambo ya ndani, Ulinzi, Afya na kwingineko halafu hakuna chochote kinachofanyika?
Inawezekana vipi tunaambiwa PCCB wana macho na maskio kila sehem halafu hao hao PCCB wanafanya vikao (kama kilichofanyika ijumaa wiki ilopita) kuwaambia watu wao wafuatilie twitter, JF na microblogging sites kwa ajili ya sources za story za ufisadi?
Hivi hawa vijana wanapeleka ripoti zipi?
Na kwa nini waendelee kulipwa kwa kupeleka ripoti za uwongo?
Inawezekana vipi mtu kama blandina afanye ufisadi wa kutisha kama vile halafu idara husika na watu walioapishwa kutulinda wakakaa kimya bila kuzuia haya mambo?
sasa kwa estimate za haraka ni kuwa Blandina peke yake kashaitia hasara serikali si chini ya dola milioni 100
nashauri either watu wawajibishwe haraka ili kuonyesha mfano kuwa haya mambo hayatovumiliwa
Sasa inawezekana vipi watu wanafanya ufisadi wa kutisha kuanzia mambo ya ndani, Ulinzi, Afya na kwingineko halafu hakuna chochote kinachofanyika?
Inawezekana vipi tunaambiwa PCCB wana macho na maskio kila sehem halafu hao hao PCCB wanafanya vikao (kama kilichofanyika ijumaa wiki ilopita) kuwaambia watu wao wafuatilie twitter, JF na microblogging sites kwa ajili ya sources za story za ufisadi?
Hivi hawa vijana wanapeleka ripoti zipi?
Na kwa nini waendelee kulipwa kwa kupeleka ripoti za uwongo?
Inawezekana vipi mtu kama blandina afanye ufisadi wa kutisha kama vile halafu idara husika na watu walioapishwa kutulinda wakakaa kimya bila kuzuia haya mambo?
sasa kwa estimate za haraka ni kuwa Blandina peke yake kashaitia hasara serikali si chini ya dola milioni 100
nashauri either watu wawajibishwe haraka ili kuonyesha mfano kuwa haya mambo hayatovumiliwa