Loading failed
JF-Expert Member
- Sep 14, 2023
- 1,945
- 5,849
Ndugu wana Jf.
Kwa masikitiko makubwa sana kumeibuka wimbi kubwa sana la wanaume wambea siyo kawaida yani akiona kitu au kusikia kitu atahakikisha amesambasa na tena wengine kazi yao ni kufukua makaburi huku wakipiga umbea hovyo vijiweni zaidi ya wanawake , wengine kutwa kucha mtu akipita ni kumchambua na kusema siri za ndoa yao utafikiria sijui kitu gani
Sisi tulizoea wanawake ndiyo wambea huko vibarazani lakini kwa sasa vibaraza vimehamia vijiweni kwa wanaume. Wanaume wanakaa wanapiga umbea siku nzima yani mpaka unajiuliza hawa wanaume wezangu namna gani au nini kimewapata hupati majibu kabisa.
Umbea siyo hulka za kiume, wanaume wambea acheni umbea ulimi utawaponza
Kwa masikitiko makubwa sana kumeibuka wimbi kubwa sana la wanaume wambea siyo kawaida yani akiona kitu au kusikia kitu atahakikisha amesambasa na tena wengine kazi yao ni kufukua makaburi huku wakipiga umbea hovyo vijiweni zaidi ya wanawake , wengine kutwa kucha mtu akipita ni kumchambua na kusema siri za ndoa yao utafikiria sijui kitu gani
Sisi tulizoea wanawake ndiyo wambea huko vibarazani lakini kwa sasa vibaraza vimehamia vijiweni kwa wanaume. Wanaume wanakaa wanapiga umbea siku nzima yani mpaka unajiuliza hawa wanaume wezangu namna gani au nini kimewapata hupati majibu kabisa.
Umbea siyo hulka za kiume, wanaume wambea acheni umbea ulimi utawaponza