Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 17,975
- 32,537
Nipo nilikuwa bize kiasi chake mkuuDogo,ulipotelea wapi?juzi nimekuwaza
Embu niambie umeniwazaje?
Nipo nilikuwa bize kiasi chake mkuuDogo,ulipotelea wapi?juzi nimekuwaza
🔨🔨🔨Ukiona mwanamke anakasirika nafikiri anakupenda kwa dhati ila unazingua tambua hilo.
Ukiona yupo kimya basi mapenzi yameisha hapo.
Ataongea weeeee.....Mimi huwa naamua kukaa kimya tu ,sijibu chochote .Tatizo lake hamalizi kitu umeshaongea si basi.Jioni ukirudi ataongea ,usiku ataanza tena.Nikiona kazidi namuachia nyumba aongee peke yake akichoka atalala.
Kuna ukweli na uongo kwenye hii hoja yako 🤔🤔🤔😏Ukiona mwanamke anakasirika nafikiri anakupenda kwa dhati ila unazingua tambua hilo.
Ukiona yupo kimya basi mapenzi yameisha hapo.
sio wote wenye midomo, napenda wanawake wa aina yako. Binafsi huwa sipendi mtu wa kunielekeza jambo kwa kupayuka na makelele mengi hata kama nimekosea kwa sababu kuna namna nzuri kabisa ya kunieleza nikaelewa. Sipendi kabisa KE mwenye maneno mengi.Sio wanawake wote mjue wana midomo, mimi hua sipendi maneno mengi au mtu kuongea anapayukapayuka napenda nikikosea niambie hapo umeenda sio na elewa na kurekebisha sio kuongea kutwa nzima aah napenda peace sipendi malumbano mimi ila kuna wanaume wanamidomo mwanamke akasome.
Hapana hakuna uongo..Kuna ukweli na uongo kwenye hii hoja yako 🤔🤔🤔😏
Duuuh aseeee 😳🤔🤔🤔Hapana hakuna uongo..
Accumen Mo kaongea fact tupu🔨👌ukiona mwanamke haongei tena wala kukulalamikia juu ya tabia zako..jua hana tena mapenz tena naww anytime anakuacha
My friend Mimi natumia akili nyingi sana Nikiwa na partner wangu,,,nasoma Sana mood yake before anything.,..Kama namsimulia jambo naangalia response yake Kama Yuko interested nayo au vipi Nikigundua hanipi attention najua kaboreka na switch story,Kama ninaongea jambo alilonikera pia naangalia mood yake,Kuna Ile Hali unaona huyu anajutia,na Kuna mood nyingine anakuwa na jazba,akiwa na jazba Mara nyingi huwa naachana na hayo maongezi,,(hamna kitu naogopa Kama ngumi ya mwanaume)☺️☺️☺️☺️🤗🤗🤗🤗🤗 Natumai na ww ni mpole sana mbele ya mwanaume msikilizaji sio,,,,,,,,,
🤣🤣🤣🤣Ameshakumiss hapoWakati wa kulala ndio makelele yanaanza,nikiona makelele yamezidi nashuka chini ya kitanda nalala zangu vzr lakini cha ajabu nikishtuka usingizi namkuta na yeye amelala chini.
Hawa viumbe tuwazoee tu hakuna namna
We unafikiri kamaliza kumbe ndio anaanza.Ataongea weeeee.....
🤣🤣🤣
#YNWA
😊😊👋Duuuh aseeee 😳🤔🤔🤔
Noma sana mkuu
Daaaah,,, upo vizuri sana mkuuuuMy friend Mimi natumia akili nyingi sana Nikiwa na partner wangu,,,nasoma Sana mood yake before anything.,..Kama namsimulia jambo naangalia response yake Kama Yuko interested nayo au vipi Nikigundua hanipi attention najua kaboreka na switch story,Kama ninaongea jambo alilonikera pia naangalia mood yake,Kuna Ile Hali unaona huyu anajutia,na Kuna mood nyingine anakuwa na jazba,akiwa na jazba Mara nyingi huwa naachana na hayo maongezi,,(hamna kitu naogopa Kama ngumu ya mwanaume)
Nilikuwaza ulilewa pale Wavuvi Camp halafu ukaenda kuogelea kule baharini ukaliwa na nyangumi🙆🙆🙆Nipo nilikuwa bize kiasi chake mkuu
Embu niambie umeniwazaje?
Wewe ni Mwanaume na Nusu🤗🤗🤗Hapna sijaoa mkuu, karibu aisee
Nililelewa kwa lugha za ishara Sana utotoni,,yaani nikizingua mbele za watu bi mkubwa haongei chochote akigonganisha macho tu na wewe unajua hapa kamaanisha acha,kula,kaa, so nimejikuta na hako katabia kakumsoma mood ya mtu.Daaaah,,, upo vizuri sana mkuuuu
Wanawake wenye tabia kama zenu ni wachache sana aseee,, kuweza kumsoma mtu si jambo dogo
Ama kweli your partner kaokota dodo
mna visa sana🤣🤣🤣🤣Ameshakumiss hapo