Nelly Willy
JF-Expert Member
- Sep 25, 2014
- 279
- 461
Umemuambia maneno haya
Diwa
Wofukozi
Wairavuyuu
Ungemla mapemaaa
Diwa
Wofukozi
Wairavuyuu
Ungemla mapemaaa
Binaadamu tuko tofauti kuna wacheshi na wapole pengine wewe ni mpole. Na wahakuwa bahati yako
Nb. Sipendi mwanaume anae ongea haraka haraka na sana hata kwa story tu za kawaida namkimbia.
Utapata wa aina yako.
Legend mi ukinitoa out mambo ya kuniambia NIAMBIE utanikata sana stimu aisee,,,,we nipe story tu mbalimbali Kwa utulivu walah utascore points za kutoshaNiambie legend!!
Legend tusipokuwa makini tutaanza kusengenya watu wa jf japo hatuwajui🤣🤣Legend mi ukinitoa out mambo ya kuniambia NIAMBIE utanikata sana stimu aisee,,,,we nipe story tu mbalimbali Kwa utulivu walah utascore points za kutosha
🤣🤣🤣🤣Wee Tena date ndio inanogaaa,tunamuanza Mmoja baada ya mwingine...Aiseee date bila vistorystory inakuwa ngumu sanaLegend tusipokuwa makini tutaanza kusengenya watu wa jf japo hatuwajui🤣🤣
Wengine hatuna mastory mengi, shida inaanzia hapo.
First date kula mzigo mzee alafu mpakie mkongo inatosha kabisa kukutafuta baadaeHii inanikuta sasa ..
Kila nikitoka out "sio kwa nia ya kula mzigo" nazungumzia kufahamiana zaidi na pisi mpya utata kwenye kwenye kupiga stori..
Mara nyingi nabakia tu 'nambie mrembo'...'mambo mengine yanasemaje?'.. 'harakati zinasemaje'....
Yaani sina stori za kumvutia aendee kukaa na mimi hapo.. nabakia kurudia rudia Sana hayo maneno ya 'nambie'..
Baada ya hapo niliambiwa nisimtafute tena..
Ukikuta interest zake ni biashara kubwa kubwa tena za kuisafiri kwenda dubaiMwanamme unatakiwa kuwa na maneno kuliko mtangazaji wa redio.
Halafu, unatakiwa kujua kumsoma mwanamke, anayependa maneno umpe maneno, asiyependa maneno usimpe maneno, mwingine anapenda mambo ya kuchekeshwa, uwe mcheshi, mwingine yuko serious ujue interests zake ziko wapi ili uende naye vizuri.
Tafuta kujua interests zake ziko wapi, ukiweza kuzijua, mtaongea vizuri tu.
Kuna mtangazaji mmoja wa televisheni za Marekani alikuwa anakwenda kumuhoji Fidel Castro Cuba, miaka ya mwanzo kabisa ya Castro kuchukua nchi Cuba.
Sasa, Castro alikuwa anajifanya mgumu sana kwenye mahojiano. Alikuwa very formal, alikuwa anataka mazungumzo yapitie kwa mkalimani kutoka Kiingereza kwenda Kihispania na vice versa.
Yule mtangazaji akaona hapa kutakuwa na ugumu sana wa kuwasiliana.
Akatafuta kujua Castro anapenda kitu gani? Akagundua Castro anapenda mchezo wa baseball.
Basi mtangazaji baada ya salamu tu, hakumuuliza Castro jambo la siasa wala uchumi, alianza kuuliza swali la baseball. Kwa kuwa Castro alipenda sana kuzungumzia baseball, alilainika mwenyewe akasahau itifaki za mazungumzo kupitia kwa mkalimani. Castro akajikuta anaongea Kiingereza moja kwa moja na yule mtangazaji.
Kuanzia hapo mtangazaji akapata urahisi wa kuuliza maswali yake mengine ya siasa moja kwa moja kwa Kiingereza.
Inabidi kuwa mjanja kujua kumsoma mtu na kufanya maongezi ya vitu anavyopenda.
Kama huwezi kuongea naye kwa mtoko wa masaa kadhaa tu utaongea naye nini akikukubalia kuishi nawe?Hii inanikuta sasa ..
Kila nikitoka out "sio kwa nia ya kula mzigo" nazungumzia kufahamiana zaidi na pisi mpya utata kwenye kwenye kupiga stori..
Mara nyingi nabakia tu 'nambie mrembo'...'mambo mengine yanasemaje?'.. 'harakati zinasemaje'....
Yaani sina stori za kumvutia aendee kukaa na mimi hapo.. nabakia kurudia rudia Sana hayo maneno ya 'nambie'..
Baada ya hapo niliambiwa nisimtafute tena..
Unakua umelewa?Hii inanikuta sasa ..
Kila nikitoka out "sio kwa nia ya kula mzigo" nazungumzia kufahamiana zaidi na pisi mpya utata kwenye kwenye kupiga stori..
Mara nyingi nabakia tu 'nambie mrembo'...'mambo mengine yanasemaje?'.. 'harakati zinasemaje'....
Yaani sina stori za kumvutia aendee kukaa na mimi hapo.. nabakia kurudia rudia Sana hayo maneno ya 'nambie'..
Baada ya hapo niliambiwa nisimtafute tena..
Mwalimu wa tuisheni kwenye moja na mbiliporn
Aisee ....balaaa. wee omba mzigo ukianzia hapo story zitakuja tuu.Hii inanikuta sasa ..
Kila nikitoka out "sio kwa nia ya kula mzigo" nazungumzia kufahamiana zaidi na pisi mpya utata kwenye kwenye kupiga stori..
Mara nyingi nabakia tu 'nambie mrembo'...'mambo mengine yanasemaje?'.. 'harakati zinasemaje'....
Yaani sina stori za kumvutia aendee kukaa na mimi hapo.. nabakia kurudia rudia Sana hayo maneno ya 'nambie'..
Baada ya hapo niliambiwa nisimtafute tena..
Mi nadha concept apo ni kufahamiana na kama alikuacha kwa sababu hizo wala usijiskie vibaya kama mwanamke amekukubali huwa Wana good understanding na tena msichana kikawaida anatakiwa hata kama anakuacha anakupotezea lakini ukiona anakuambia straight away jua ni takataka na hakufaiHii inanikuta sasa ..
Kila nikitoka out "sio kwa nia ya kula mzigo" nazungumzia kufahamiana zaidi na pisi mpya utata kwenye kwenye kupiga stori..
Mara nyingi nabakia tu 'nambie mrembo'...'mambo mengine yanasemaje?'.. 'harakati zinasemaje'....
Yaani sina stori za kumvutia aendee kukaa na mimi hapo.. nabakia kurudia rudia Sana hayo maneno ya 'nambie'..
Baada ya hapo niliambiwa nisimtafute tena..
Hahahaha..Kuna staili nyingine za Mtu kutongoza ni vichekesho kiukweli!