Peaky blinders
JF-Expert Member
- May 8, 2023
- 3,362
- 6,190
🤣🤣🤣konyagi ndogo moja tu utajikuta unastori mpk utatuzi wa mgogoro wa russia na Ukraine!!
haitoshi utaanza kuongea na kiingilishi hapo bado mtongozo!.
🤣🤣🤣konyagi ndogo moja tu utajikuta unastori mpk utatuzi wa mgogoro wa russia na Ukraine!!
haitoshi utaanza kuongea na kiingilishi hapo bado mtongozo!.
Imagine mmekaa masaa matatu unaulizia tu viwanja na bei zake😅Unashindwa kumuuliza hata story za mtaani kwao? Huku ukimuuliza “hivi huko viwanja vinapatikana eeh”?
Unaulizia kwa marefu na mapana😂😂Imagine mmekaa masaa matatu unaulizia tu viwanja na bei zake😅
Anatongoza kwenye textsHili ni somo refu, na sasa hv nko busy. Ntarud baadae nikuelezee..
Kama hili limekushinda i wonder unatongoza vp
Hivi hii ni Second au First nshasahau 😄😄
Lamomy naomba Outing na wewe 😅😅Kwahiyo umeshindwa kumuuliza hata kwao wako wangapi??
Ww ni lijinga manzi mpk anakubali hizo outings means kakukubali hafu unaanzisha “NIAMBIE” mfyuuuu!!
Mi na bichwa langu ningekujibu hiyo niambie yako, “baba yako kafumaniwa na wameagiza mwenzao akanunue futa la baby care” fanya uwahi kabla mambo hayajaharibika
inategemea umechukua demu wa rika lipi,au wa tabia zipi.ukichukua wasichana wa kisasa wanataka uchati nao,masuala ya wasanii na maisha yao,ukichukua watu wazima,wanataka muongee,maisha,una mpango gani nae,je unataka kumla tu au vipi,ukichukua malaya wanaojiuza,hawana muda wa storiHii inanikuta sasa ..
Kila nikitoka out "sio kwa nia ya kula mzigo" nazungumzia kufahamiana zaidi na pisi mpya utata kwenye kwenye kupiga stori..
Mara nyingi nabakia tu 'nambie mrembo'...'mambo mengine yanasemaje?'.. 'harakati zinasemaje'....
Yaani sina stori za kumvutia aendee kukaa na mimi hapo.. nabakia kurudia rudia Sana hayo maneno ya 'nambie'..
Baada ya hapo niliambiwa nisimtafute tena..
Ananidhamu ya uwoga...
Kaazi kweli hiki kizaziHili ni somo refu, na sasa hv nko busy. Ntarud baadae nikuelezee..
Kama hili limekushinda i wonder unatongoza vp
Yeah anaonekana ni muoga!Ananidhamu ya uwoga...
👊Uko vizuri unaonekana una intelligent kubwa ya aina watu na kuwasoma wanataka niniBinaadamu tuko tofauti kuna wacheshi na wapole pengine wewe ni mpole. Na wahakuwa bahati yako
Nb. Sipendi mwanaume anae ongea haraka haraka na sana hata kwa story tu za kawaida namkimbia.
Utapata wa aina yako.