GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,721
- 109,155
Akizungumza leo katika kuazimisha Siku ya Wanawake duniani Rais wa Uganda Mzee Yoweri Museveni leo ameamua rasmi kuwatolea ' uvivu ' Wanaume wenye tabia ya ' Kupiga ' Wake zao ambapo amewatolea ' makavu ' bila kuwaonea aibu / haya.
" Wanaume wanaopiga Wake zao au Wanawake ni Wapumbavu na Waoga kwani hata katika Kitabu cha Biblia Takatifu cha Waefeso 5:25 imeandikwa kwamba Wanaume watawapenda Wake / Wanawake zao kwa upendo wao wote kama ambavyo Kristo alilipenda Kanisa na kujitoa mhanga kwa ajili yake " alisema Rais Museveni.
Nini maoni yako je Rais Museveni kwa hili yupo sahihi 100% au amekenguka kwa Uzee wake?
Chanzo cha Habari: Ikulu ya Uganda Leo.
Nawasilisha.
" Wanaume wanaopiga Wake zao au Wanawake ni Wapumbavu na Waoga kwani hata katika Kitabu cha Biblia Takatifu cha Waefeso 5:25 imeandikwa kwamba Wanaume watawapenda Wake / Wanawake zao kwa upendo wao wote kama ambavyo Kristo alilipenda Kanisa na kujitoa mhanga kwa ajili yake " alisema Rais Museveni.
Nini maoni yako je Rais Museveni kwa hili yupo sahihi 100% au amekenguka kwa Uzee wake?
Chanzo cha Habari: Ikulu ya Uganda Leo.
Nawasilisha.