Je, Wanaume wengi hufa mapema kutokana na msongo wa mawazo (frustrations) unaosababishwa na wake zao?

Wanaume vile vile hutumia nguvu nyingi sana kuwalea wanawake ili wapewe nafasi ya ku-mate! Hii ni kweli kwa mammals, birds, hata reptiles na amphibians vile vile!
 
Wanaume vile vile hutumia nguvu nyingi sana kuwalea wanawake ili wapewe nafasi ya ku-mate! Hii ni kweli kwa mammals, birds, hata reptiles na amphibians vile vile!
Lakini mbona kwa mnyma simba ni tofauti?
Simba jike ndiye muwindaji anayehakikisha familia hailali njaa hata kama kuwinda huko kunatishia uhai wake hususan pale anapokabiliana na mnyama kama nyati....................... Hii imekaa vipi mkuu?
 
Ningebahatika kuwa respondent katika huo utafiti nami ningongeza haya: wamawake pia wanachagia wanaume kufa mapema kwani huwapa presha sana pale ambapo kuna mapungufulani katika familia. hu demand sana.
Pia wakati fulani huwaongezea waume zao lishe kwa kuwajazia michuzi minono kuliko watoto yaani huwapendelea zaidi. siku akiwepo home mzee hukaangiza kwelikweli na kuwapa top layer. matokeo matatizzo ya afya kama presha, kisukari na hatimae hufa mapema. wanaume pia hujipendelea sana kwa kupata vilaji ziada wawapo out kama nyama choma, pombe na hata nyumba ndogo vyote hivi vina athari kwa afya ya wanaume
 
Ni kweli kabisa hata vijijini vibibi ndio vimejaa kuliko vibabu.

Kuna ndugu yangu mmoja yeye alinambia wanaume wanakufa sababu wamejaa dhambi.Lol. Dhambi uzaa mauti.
 
Lakini mbona kwa mnyma simba ni tofauti?
Simba jike ndiye muwindaji anayehakikisha familia hailali njaa hata kama kuwinda huko kunatishia uhai wake hususan pale anapokabiliana na mnyama kama nyati....................... Hii imekaa vipi mkuu?

Ni kweli simba jike ni wawindaji wazuri, lakini haina maana kuwa madume hawawindi. Simba dume ndo huwinda wanyama wakubwa sana na wana nguvu kuliko majike. Hata hivyo wao focus yao huwa ni kulinda eneo lao la kuwinda lisivamiwe na simba wengine hasa madume. Hii hutoa nafasi kwa majike kupata freedom ya kuwinda bila kuingiliwa. Yaani simba madume humiliki maeneo ambamo majike huishi na kuwinda. Madume hu-focus zaidi kwenye ulinzi of course na mating ili kuendeleza jamii ya simba iendelee kuwepo.

Kazi hiyo ya madume ni ngumu zaidi na huwafanya madume wawe wachache sana ila wenye nguvu zaidi. Kumbuka Simba dume akiishiwa nguvu mara nyingi majike humtimua katika kundi. Kwa hiyo madume position yao huwa wanaipigania!

Hali haiko tofauti sana kwa binadamu! Kila siku unasikia watu wakipiga makelele ooo vijijini wanaume hawafanyi kazi; hawalimi, wao kazi yao kunywa pombe tu, ila kinamama wakilima mazao wanaume huyamiliki, n.k. Wanaume hawa ni kama huo mfano wa simba! Lazima wana kitu kinachowafanya wale bure na kina mama wawatumikie!! Si bure.
 
Ningebahatika kuwa respondent katika huo utafiti nami ningongeza haya: wamawake pia wanachagia wanaume kufa mapema kwani huwapa presha sana pale ambapo kuna mapungufulani katika familia. hu demand sana.
Pia wakati fulani huwaongezea waume zao lishe kwa kuwajazia michuzi minono kuliko watoto yaani huwapendelea zaidi. siku akiwepo home mzee hukaangiza kwelikweli na kuwapa top layer. matokeo matatizzo ya afya kama presha, kisukari na hatimae hufa mapema. wanaume pia hujipendelea sana kwa kupata vilaji ziada wawapo out kama nyama choma, pombe na hata nyumba ndogo vyote hivi vina athari kwa afya ya wanaume

Umesahau na stress zinazotokana na lawama na malalamiko mengi hata kwa mambo ambayo yangeweza kupuuzwa tu na maisha yakaendelea kama kawaida. Hawa watani wa jadi muda mwingi wanautumia kulalamika na siyo kutoa mawazo yenye suluhu ya changamoto zinazoikabili familia.
 
Sijui kwanini sikuuona uzi huu mapema, very informative na una ukweli kwa kiasi kikubwa.

Nafikiri wanaume wawe wanalia japo kwa uficho (chumbani) ili kupunguza mastress. Na pia ni vizuri wajue tunapenda zaidi mwanamume aliye hai kuliko hero ambaye ni the late!

Hivi ukilia kimya kimya unapunguza stress ama unaziongeza? Nadhani stress inapungua zaidi kama utakuwa na mtu ambaye anakuwa ni kimbilio lako kwa mawazo na matendo pindi unapata msononeko. Ukijifungia chumbani peke yako, ukalia kimya kimya...ukimaliza tu...tatizo labaki pale pale...ni sawa na wale wenzangu na mie ambao huamua kupunguza stress kwa kugida ugimbi...haisaidii!! Ndio kwanza inazidi kuwadidimiza kisaikolojia na kiuchumi! Tuendelee kutafakari!!
 
Ni kweli simba jike ni wawindaji wazuri, lakini haina maana kuwa madume hawawindi. Simba dume ndo huwinda wanyama wakubwa sana na wana nguvu kuliko majike. Hata hivyo wao focus yao huwa ni kulinda eneo lao la kuwinda lisivamiwe na simba wengine hasa madume. Hii hutoa nafasi kwa majike kupata freedom ya kuwinda bila kuingiliwa. Yaani simba madume humiliki maeneo ambamo majike huishi na kuwinda. Madume hu-focus zaidi kwenye ulinzi of course na mating ili kuendeleza jamii ya simba iendelee kuwepo.

Kazi hiyo ya madume ni ngumu zaidi na huwafanya madume wawe wachache sana ila wenye nguvu zaidi. Kumbuka Simba dume akiishiwa nguvu mara nyingi majike humtimua katika kundi. Kwa hiyo madume position yao huwa wanaipigania!

Hali haiko tofauti sana kwa binadamu! Kila siku unasikia watu wakipiga makelele ooo vijijini wanaume hawafanyi kazi; hawalimi, wao kazi yao kunywa pombe tu, ila kinamama wakilima mazao wanaume huyamiliki, n.k. Wanaume hawa ni kama huo mfano wa simba! Lazima wana kitu kinachowafanya wale bure na kina mama wawatumikie!! Si bure.
Mkuu umenikuna sana na maoni yako..................
Nimejifunza kitu, na sasa nafanya utafiti ili nije na topic ya kulinganisha maisha ya wanyama hususan simba na ya wanadamu kwa upande wa ndoa na malezi...................... ninachotaka kujua hasa ni life span kati ya simba dume na jike,wht I understand in general inajulikana kwamba life span ya simba ni 15 to 16 years basi lakini nataka kwanza kujua kama dume haliishii miaka 13 kweli?
 
Mundu you are very right, when u have someone ambaye unamtolea matatizo yako na hata kulia kwa nguvu huku umemuegamia au umemkumbatia husaidia sana! Sasa kutokana na ego za wanaume ni bora (kuliko kutolia kabisa) wajifungie hata chumbani walie (kwa sauti wakiweza) kuliko kutumia nguvu nyingi kumeza matatizo kwa kauli ya kuwa kila kitu kiko under control!
 
Last edited by a moderator:
Sijui kwanini sikuuona uzi huu mapema, very informative na una ukweli kwa kiasi kikubwa.

Nafikiri wanaume wawe wanalia japo kwa uficho (chumbani) ili kupunguza mastress. Na pia ni vizuri wajue tunapenda zaidi mwanamume aliye hai kuliko hero ambaye ni the late!

Kaunga nakupendaga kitu kimoja,uwezo wako wa kuushirikisha ubongo wako ktk tafakari kabla ya kutoa comments ni wa daraja la juu kabisa!
 
WanaJF,

Nimefanya utafiti wangu kwa muda mrefu na kwenye makabila tofauti na maisha tofauti nimeona kuwa katika familia nyingi za matajiri na maskini mara nyingi wanaume hutangulia kufa kabla ya wake zao. Karibia 90%.

Na vifo ninavyoongela hapa ni vile vinavyotokana na kuugua au kufa ghafla lakini sio kwaajili ya ajali.

Je, sababu ni moja tu kuwa mara nyingi almost 95% ya wanaume wanaoa wanawake ambao wamewazidi umri kwa zaidi ya miaka 2?

Je, kuna sababu nyingine?

Embu nijulishe jamani.
 
Sio miwili 5-10 sasa akifa ni sawa au sio sawa kila mtu si anasiku zake za kufa na wote si tunakufa
 
Kwa sababu tukiudhiwa na wenzetu tunapiga kimya tunakufa ndani kwa ndani na maumivu,tukiwaudhi wanawake wao hupata relief kwa kuongea kila neno linalokuja kichwani mwao na kulia,hivyo hupunguza stress hivyo kuishi zaidi.

Kaunga aliwahi kushauri wanaume waanze kulia hata kwa kujificha vinginevyo tutakufa mapema daima.
 
Pia tendo la ndoa, mshindo mmoja kwa mwanaume ni sawa na mtu aliyelima ekari moja ya shamba!...anaebisha abishe tu!

Tendo la ndoa lina-consume Adenosine Triphosphate (ATP) nyingi sana, so inapunguza nguvu kwenye cell na kuuacha mwili ukiwa dhoofu.
 
Back
Top Bottom