RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 51,719
- 107,835
Kuanzia laki tano hivi
hivi unajua ni matofali mangapi hayo??!! halafu kesho mje mtuponde hapa tunaishi nyumba za kupanga!!!
Kuanzia laki tano hivi
hivi unajua ni matofali mangapi hayo??!! halafu kesho mje mtuponde hapa tunaishi nyumba za kupanga!!!
Unajua wamama wanavyoona sura zetu zinabadilika utafikiri tumepigwa na ngumi ya mwizi, hawajui tunapunguza muda wetu wa kuishi. Wao wanakata mauno tu. Tunapo Rest In peace wanalia hawajui wao ndo wametuua.:biggrin1::biggrin1:. Hebu jiulize mtu uko naye miaka kumi, unamminia protini tu.... tungekuwa tunazimiminia kwenye mapipa kungekuwa na haja ya ku import engine oil??Asprin jaman mbavu zangu. Nimecheka sana jamani.
therefore protein ikitoka hupati lolote kwao???
Nisaidie.
Tunawapenda. Ndio maana tumejitolea kupunguza uhai wetu kwa ajili yenu.Sio nyie mnapenda kulisha wake zenu hiyo protin???
wewe ndiyo mwanaumeYaani we acha tu....No stress No Chepuko...mama watoto anatosha,shida yangu shida yake,Marufuku kushika tama...popote nilipo ndipo pesa ilipo
Unajua wamama wanavyoona sura zetu zinabadilika utafikiri tumepigwa na ngumi ya mwizi, hawajui tunapunguza muda wetu wa kuishi. Wao wanakata mauno tu. Tunapo Rest In peace wanalia hawajui wao ndo wametuua.:biggrin1::biggrin1:. Hebu jiulize mtu uko naye miaka kumi, unamminia protini tu.... tungekuwa tunazimiminia kwenye mapipa kungekuwa na haja ya ku import engine oil??
Tunawapenda. Ndio maana tumejitolea kupunguza uhai wetu kwa ajili yenu.
Mkuu likes hazitoshi. Kama una kagelofrendi kalikuwa kanakuzengua na umeshakapiga chini, nitupie namba zake PM. Mi ndo mtaalam wa kuzoa vitu used. Kitaalam mi naitwa Tingatinga (siyo magufuli). Nina uzoefu na hii kazi kama Mugabe alivyo na uzoefu na uraisi. Sitakuangusha.hahahahahaaa ungekuwa karibu faini ya kuumiza mbavu zangu ingekuhusu.
wewe ni jembe mkuuu umenimaliza kabisa.
leo ni full kufurahi na majibu yako.
Unajua zaman nilikuwa nasoma msg watu wakikusifia lkn sijawahi kutana na wewe ila leo umenimaliza Mkuu.
Pokea all my likes cause they are many.
Lakini pia watu wanasahau wanaume wanao wanawake wadogo kwa umri.Unakuta mwanaume kampita mke wake miaka kumi sasa unategemea nani ataanza kufa kwa kigezo cha umri.
Me nilizani 0ne million we kumbe unafaa
hivi unajua ni matofali mangapi hayo??!! halafu kesho mje mtuponde hapa tunaishi nyumba za kupanga!!!
We unadhani ni kiingilio cha wapi? Hicho ni kiingilio cha kufurahi hapa.[/QUOTE
kiingilio cha kufurahi hapa ni mb zangu....
Mkuu likes hazitoshi. Kama una kagelofrendi kalikuwa kanakuzengua na umeshakapiga chini, nitupie namba zake PM. Mi ndo mtaalam wa kuzoa vitu used. Kitaalam mi naitwa Tingatinga (siyo magufuli). Nina uzoefu na hii kazi kama Mugabe alivyo na uzoefu na uraisi. Sitakuangusha.
Ee Mungu mpofushe wife wangu BADILI TABIA asisome huu uzushi wa CCM kwenye hii post. Nsije kosa kura za Friends of Lowassa na chakula cha usiku wa manane wakati bundi wamelalana.
Basi sawa. Ngoja nijaribu bahati yangu pande za Ukawa kule...Mkuu huku kwetu tunasema wewe ni shidahhhh, naamini wewe kwa hekima zako hutakuwa zoa zoa kwa nilivyokutathmini.
Ila naomba tu hizo likes za leo zikutoshe tu ukinikosha tena wakati mwingine naahidi kuongeza likes.
sijui kwanini nimekumisi mpaka baiolojia yangu ya via vya uzazi vimegoma kufanya mabadiliko ya kifizikia.Wengi wao wanajitoa ufahamu kwa hiyo inabidi mauti iwapitie mapema
sijui kwanini nimekumisi mpaka baiolojia yangu ya via vya uzazi vimegoma kufanya mabadiliko ya kifizikia.
Maneno kurasa tatu, unatafuta weee palipoulizia namba za ac wala huoni, kiruuuuu, kataa umasikini.
Mdogo wangu cute b uko wapi? Kimbia umasikini mama.
Hahahaaaa usiwe na hofu na mimi dear yaani nachukia umaskini kama lowasa
Fanya haraka haraka kabla mambo hayajaharibika. Niko PM nakusubiria.Haunishindi mimi kila nikitoa macho sikuono,inabidi nifanye kitu kitu ili kemistri itoke vizuri