Sio kweli. Wengine tuna miaka 20+ kwenye ndoa na hatujatoka nje ya ndoa hata mara 1.Hakuna hata mmoja.
Sio kweli. Wengine tuna miaka 20+ kwenye ndoa na hatujatoka nje ya ndoa hata mara 1.Hakuna hata mmoja.
Na UKIMWI mtagawana wote, afterall UKIMWI ni wenu wote
Kwanini wathink negatively all the time?raha ya mapenzi umpate wa kupendana naye,haijalishi ni mume ama mke wa mtu,ukimwi wapatikana kwa njia kibao ukiput aside ngono,mume wa mtu mtamu xana jaribu uone
Hao waaminifu wako wapi?????? NEGRO PALEASEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
There are 2 kind of Hero!!!!!!!!
1. True heros genuinely!!!!!!!!!! Ila kuna tetesi hili kundi ni EXTINCT kwa karne hii ya digitali!!!!!!!!!
2. Who enjoy themselves and never get caught!!!!!!!!!!!!!! They get away with it!
SO DONT BE SO SURE INCASE YOU HAVENT CAUGHT HIM YET!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Najua, nitarushiwa kijembe kuwa nawapendelea wananwake! Any way, na mimi pia ni mwanamke! Nafikiri katika mambo yanamuuma mke, ni mume kutoka nje ya ndoa! Hata hawa watu wafanyweje jamani! Kama hawajaridhika si waache wasioe kwanza?Pamoja na hayo, nifikishe hongera zangu kwa good and committed husbands, ambao ni waaminifu kwa wake zao, keep it up!
Kwanini wathink negatively all the time?raha ya mapenzi umpate wa kupendana naye,haijalishi ni mume ama mke wa mtu,ukimwi wapatikana kwa njia kibao ukiput aside ngono,mume wa mtu mtamu xana jaribu uone
ngoma droo Akitafuta mchepuko na Mie nachepuka mpaka siku tujikute tuna share mume na mke Ndo akili itamrudia