Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,412
- 119,168
Duh, natamani hilo zali kwakweli
Njoo nikupe mbinu
Duh, natamani hilo zali kwakweli
Yupo mbinguni
Rijali !!tunataka watu ambao ni wanaume tena wanaojitambua kuwa ni wanaume...binafsi mwanaume ambae hajitambue na kujua nafasi yake huwa naona kama analazimisha kuwa nafasi ya mdada ni kama hakuridhika kuzaliwa mwanaume vile!!!sasa wewe unaringa...huo ni uanaume kweli jamann??
issue sio utaifa ni kujitambua..personality baba
Mwarabu?, nahisi kakuonjesha extreme za tigo ukaona dunia yote ndo hiyo.
Usitukane wakunga......
Halafu ukafanya kituko cha mwaka kufanya maamuzi kwenye kitu ambacho hata hujasomaSijasoma wala, anaongelea nini?
Uandishi ni jambo muhimu sana kwenye kufikisha ujumbe. Nimegundua kuna wengine walikuwa wanafeli si kwa sababu hawana point, ila mpangilio mbovu.
Nimeona tu miherufi mikubwa ikani-turn off kabisa.
Unakosea unaposema "unatuzutia" kwani inawezekana wengine walivutiwa hivyohivyo tuUpdate: Nimesoma baada ya kuona umebadili mwandiko walau na aya umeweka, hivyo sasa unatuvutia wasomaji. Kuandika kwa herufi kubwa inaonyesha unapiga makelele (ul'ihamka)engine hatupendi kuhamkilwa.
ndiyo kawafundisha roho mbaya
Roho mbaya ni nin?
hahaha is all about nonsense ,ushachezewa eti now nimepata mwarabu,bado sana LOVE is not a storytelling is a truefilling you experience.
afu hela imeingiaje hapo?
Ujumbe mzuri,,
Hapo japo sijui shilingi yake"
Bibie yupo anaeijua eeeeeeeenh!!!!
Ha ha ha, amerekebisha, kumbe kelele zangu zinasaidia.
Afu huyu Lara 1 kakufanyaje? Naona umefika bei kabisa.
eeeh eeeh umempatia wapi nami nije hiyo point??
Habari njema hiii.
utawajua tu.....
Nikufanyia wenzio vitu binawachukiza
Halafu ukafanya kituko cha mwaka kufanya maamuzi kwenye kitu ambacho hata hujasoma
Hili ni tatizo kubwa sana hapa!
Kweli, inawezekana wengine hamjali lakini nahisi walau kuna mwingine anayekerwa na uandishi ule.Unakosea unaposema "unatuzutia" kwani inawezekana wengine walivutiwa hivyohivyo tu
Kwanini unadhani kila mtu anaeandika kwa herufi kubwa anakuwa anapuga makelele?
Huenda hata hizo sheria za huo uandishi unaousema hazijui!
I see...there you are for sure!Mwanaume kama huyu je?