Wajinga sana, kama Alikiba anajichubua mpaka anapitilizaEnz hizo walikuwa weusiii au ndio tuseme pesa inafanya mtu ang’ae
Hivi huyu ni mmbongo eh?
We Kama una majukumu mengi usisumbue wenzako Kama wewe huna mda wa kujifanya uwe presentable endelea kuwa mbovuACHA UKUDA HATA KAMA NI UZURI MTOTO WA KIUME UNAYETAMBUA MAJUKUMU YAKO HUO MUDA WA KIJICHUBUA UNATOA WAPI
🤣Sawa we Baki na sura lako jeusi wanawake nao wanataka wanaume weupe Sasa we Baki ukiita mashoga wakati ndo wanakuibia mademuKwani uhendisamu wetu watoto wa kiume umeanza miaka hii michache?!!!
Uzuri wa kiume na "kujichubua" ni vitu tofauti....
Jali maisha yako.Dunia sijui inaenda wapi? Watoto wakiume kama mabinti, haya mambo ya kupaka madude ya kukufanya uwe mweupe si muwaachie dada zenu, yaani imekuwa to much.
Utandawazi unaharibu zaidi kuliko kujenga, unakutana na mtoto wa kiume kajichubua na kupendeza kama mwanamke, mkifananishwa na wanawake mnakasirika.
Au kuna michezo mingine wanacheza, how come watoto wa kiume kuwa weupe wa hivyo na sio weupe asilia, yaani weupe wa kukutana nao?
Na mashuga mami ndio wanaharibu hivi vitoto vya kiume, yaani wao ndio wanawafanya wasitake kazi, wawe marioo. Ndio maana vinajichubua daily kwa kuwatega washuga mamy, msichana mzuri mdogo mdogo wa miaka 25-30 hawezi kutembea na kitoto kimejichubua hivyo.
Unakuta mtoto wa kiume chumbani kwake kuna lotion ya kila aina, sasa ni mtoto wa kiume huyo? Hatusemi wasiwe nadhifu lakini watoto wa sasa imekuwa to much, yaani wanakera
Ukikatiza K/Koo utakutana navyoo, yaani wamejikoboa sura na kuwa warembo. Baada ya miaka 20 tutapoteza hiki kizazi cha watoto wa kiume wa kweli, naona tunaishia ishia sasa.
🤣Mbona matusialafu unajiita simba utakuwa mlamba lipsi na wewe.
Toa huja sio keleleUnaweza kuta we ni Dr Kumbuka!! Nikimuonaga huyu mtu nasikia kinyaa sana!
wapi tusi hapo kulamba lips ni tusi ona ulivyo mweupe🤣Mbona matusi
One man down here...Acha kuongea ujinga mtandaoni we Kama hujipendi na sura lako baya ka tulia...we mwanaume Akiwa mzuri inakuuma nini, kwani wanaume wanatakiwa kuwa wabaya au...ongea point usiongee vya moyoni
Hakika hawa ni haluahaluaMashoga hao.
Sikubaliani hata na wanawake kujichubuwa.
Unashangaa nini ?? Nasura yako ngumu kama chai ya jaba Ushimen
Halafu huyu ningozi yake wala hajichubuiAcha kuongea ujinga mtandaoni we Kama hujipendi na sura lako baya ka tulia...we mwanaume Akiwa mzuri inakuuma nini, kwani wanaume wanatakiwa kuwa wabaya au...ongea point usiongee vya moyoni