Wanaume waliofanyiwa Tohara kwa njia ya asili wananafasi kubwa ya kuwaridhisha wenza wao tofauti na wale waliofanyiwa hospitalini

Expensive life

JF-Expert Member
May 2, 2020
1,704
5,480
Ikumbukwe kuwa wanawake hufurahia tendo pale g sport yake inaposuguliwa na uume ipasavyo.

Wanaume waliofanyiwa tohara kwa njia ya asili wananafasi kubwa sana ya kuifikia g sport ya mwanamke kwa sababu ziguatazo.

Wakati wanapofanyiwa tohara ile ngozi ya mbele inapokatwa huwa aikatwi yote, inakatwa kidogo kisha ngozi inayobakia huviringishwa mwishoni kabisa mwa shina la uume yaani karibia na kichwa.

Hivyo kufanya kutengeneza kifundo kidogo mfano wa tuta, hivyo wakati wa tendo ni rahisi kuifikia ipasavyo g sport ya mwanamke wakati wa msuguano.

Tohara kwa upande wa hospital.
Hospital wanachokifanya wao ni kuikata ile ngozi yote na kuitoa kisha kushonea kipande kidogo cha ngozi kilichobakia.

Sasa kimbembe kinakuja pale baada ya kupona kwani utengeneza mfano wa kipara mwishoni kabisa mwa uume.
 
Na napenda kuongezea, waliotahiriwa jando la asili uume wao ni wa motoo na mtamuu mnoo, yaan una ladha halisi ya kibinadamu.

Hawa wa hospital hapana ile ganzi inaharibu kila kitu.

Wanaume waliotahiriwa jando la asili, wapewe maua yaoo.

 
Mkuu umefanyiwa tohara kiasili?

Mbona mimi sina hiyo ngozi iliyovingirishwa kwenye kichwa cha uume?,Yangu imechongwa na imenyooka kama rula na bado wakati wa kuchimba kisima nahakikisha maji yanatoka kisimani hadi mwenye kisima anabaki kulia tu kwa furaha!
 
Ikumbukwe kuwa wanawake hufurahia tendo pale g sport yake inaposuguliwa na uume ipasavyo.

Wanaume waliofanyiwa tohara kwa njia ya asili wananafasi kubwa sana ya kuifikia g sport ya mwanamke kwa sababu ziguatazo.

~ wakati wanapofanyiwa tohara ile ngozi ya mbele inapokatwa huwa aikatwi yote, inakatwa kidogo kisha ngozi inayobakia huviringishwa mwishoni kabisa mwa shina la uume yaani karibia na kichwa.

Hivyo kufanya kutengeneza kifundo kidogo mfano wa tuta, hivyo wakati wa tendo ni rahisi kuifikia ipasavyo g sport ya mwanamke wakati wa msuguano.

Tohara kwa upande wa hospital.

Hospital wanachokifanya wao ni kuikata ile ngozi yote na kuitoa kisha kushonea kipande kidogo cha ngozi kilichobakia.

Sasa kimbembe kinakuja pale baada ya kupona kwani utengeneza mfano wa kipara mwishoni kabisa mwa uume.
Hahaha..
Kwa hiyo Wamasai na Wakuria wanaupiga mwingi, wapewe maua yao😁
 
Ikumbukwe kuwa wanawake hufurahia tendo pale g sport yake inaposuguliwa na uume ipasavyo.

Wanaume waliofanyiwa tohara kwa njia ya asili wananafasi kubwa sana ya kuifikia g sport ya mwanamke kwa sababu ziguatazo.

~ wakati wanapofanyiwa tohara ile ngozi ya mbele inapokatwa huwa aikatwi yote, inakatwa kidogo kisha ngozi inayobakia huviringishwa mwishoni kabisa mwa shina la uume yaani karibia na kichwa.

Hivyo kufanya kutengeneza kifundo kidogo mfano wa tuta, hivyo wakati wa tendo ni rahisi kuifikia ipasavyo g sport ya mwanamke wakati wa msuguano.

Tohara kwa upande wa hospital.

Hospital wanachokifanya wao ni kuikata ile ngozi yote na kuitoa kisha kushonea kipande kidogo cha ngozi kilichobakia.

Sasa kimbembe kinakuja pale baada ya kupona kwani utengeneza mfano wa kipara mwishoni kabisa mwa uume.
we ni mwanamke au mwanaume? Km ni mwanamke unawatofautishaje? Km ni me pengine ni shoga.
 
Ikumbukwe kuwa wanawake hufurahia tendo pale g sport yake inaposuguliwa na uume ipasavyo.

Wanaume waliofanyiwa tohara kwa njia ya asili wananafasi kubwa sana ya kuifikia g sport ya mwanamke kwa sababu ziguatazo.

~ wakati wanapofanyiwa tohara ile ngozi ya mbele inapokatwa huwa aikatwi yote, inakatwa kidogo kisha ngozi inayobakia huviringishwa mwishoni kabisa mwa shina la uume yaani karibia na kichwa.

Hivyo kufanya kutengeneza kifundo kidogo mfano wa tuta, hivyo wakati wa tendo ni rahisi kuifikia ipasavyo g sport ya mwanamke wakati wa msuguano.

Tohara kwa upande wa hospital.

Hospital wanachokifanya wao ni kuikata ile ngozi yote na kuitoa kisha kushonea kipande kidogo cha ngozi kilichobakia.

Sasa kimbembe kinakuja pale baada ya kupona kwani utengeneza mfano wa kipara mwishoni kabisa mwa uume.
Picha Iko wapi?
 
Ikumbukwe kuwa wanawake hufurahia tendo pale g sport yake inaposuguliwa na uume ipasavyo.

Wanaume waliofanyiwa tohara kwa njia ya asili wananafasi kubwa sana ya kuifikia g sport ya mwanamke kwa sababu ziguatazo.

~ wakati wanapofanyiwa tohara ile ngozi ya mbele inapokatwa huwa aikatwi yote, inakatwa kidogo kisha ngozi inayobakia huviringishwa mwishoni kabisa mwa shina la uume yaani karibia na kichwa.

Hivyo kufanya kutengeneza kifundo kidogo mfano wa tuta, hivyo wakati wa tendo ni rahisi kuifikia ipasavyo g sport ya mwanamke wakati wa msuguano.

Tohara kwa upande wa hospital.

Hospital wanachokifanya wao ni kuikata ile ngozi yote na kuitoa kisha kushonea kipande kidogo cha ngozi kilichobakia.

Sasa kimbembe kinakuja pale baada ya kupona kwani utengeneza mfano wa kipara mwishoni kabisa mwa uume.
Siyo makabila yote wanaacha hizo ngozi. Kafanye utafiti wa kutosha kabla ya kuja kupost huku
 
Back
Top Bottom