Wanaume wajiandae kwa usawa mkubwa zaidi na wanawake wenye nguvu badala ya kulalamika

Mtoto wa kiume hajasahaulika, kilichotokea ni mabadiliko makubwa ya kimfumo wa maisha ambayo hayatoi fursa kubwa sana kwa wenye misuli na nguvu za mabavu kufanikiwa katika ulimwengu wa leo, ndio maana unaona wanawake na hata wanaume ambao zamani walichukuliwa wadhaifu sana mfano "mashoga" wanafanikiwa pakubwa.
Mtoto wa kiume anaonekana amesahaulika tena wakati mwingine akichukuliwa kana kwamba yeye ndiye mkandamizaji, hata haki zake za mtoto anaminywa kwa hoja eti 'woman first'.

Kama watoto wa kiume wamepata watetezi ni jambo jema Sana
 
Napinga ukatili wa kijinsia kwa wanawake kwa nguvu zote ila 50/50 ni ngumu sana 😂 kwa sababu wanawake wanapenda kuonewa huruma !! Kitu ambacho kwa wanaume hakipo !!! Nnachokiona ni sheria tu zimewekwa kumbeba mwanamke na kumfanya aogopeke . Siku za mbeleni sana nnachoamini mwanamke ataogopeka sana ila haimaanishi ndo 50/50 wanaume watakua wanawakwepa wanawake kwenye sphere wanazoona zinaweza kuwaingiza matatani. Na haya mambo naona yako sana kwenye sexual harassment , imagine ukinusa nywele za mwanamke bila hiyari yake akikushtaki unakula mvua za maana.

50/50 ili iwepo sheria ziache kumbeba mwanamke mfano mambo ya viti maalumu , watolewe kwenye kundi maalumu (Special group) kule tubaki na watoto na wazee !! Ikizuka msala wote tunasonga mbele sio ladies first kwenye mambo mazuri tu tukutane na kwenye mabalaa !!

Vyombo vikubwa vya habari kama BBC na CNN viache kutangaza zile style za " huko nchini Yemen vita imezuka huku wahanga wakubwa wakiwa ni wanawake na watoto"

50/50
ili iende sawa waache kucrave attention mara nataka muda wako , mara hunijali , zile style za i'll be there for you zife ! weka moyo imara.

Haya yote watayafanikisha ila hawa watu huwa hawako Loyal kwa jinsia yao( ke na ke ) hapo ndo msala unapoishia Wanaume huwa tuko loyal ukipanga kitu na mtu huwa kugeukana na kusengenyana ni kidogo sana na issues za hivyo zikitokea haziathiri mpango kazi jambo litaenda tu.
 
Mtoto wa kiume hajasahaulika, kilichotokea ni mabadiliko makubwa ya kimfumo wa maisha ambayo hayatoi fursa kubwa sana kwa wenye misuli na nguvu za mabavu kufanikiwa katika ulimwengu wa leo, ndio maana unaona wanawake na hata wanaume ambao zamani walichukuliwa wadhaifu sana mfano "mashoga" wanafanikiwa pakubwa.
Mtoto wa kiume kwa sasa amewekwa nyuma mno hata haki zake za muhimu huenda akazikosa kwa kisingizio cha kuleta usawa, hii sio haki kabisa.

Haiwezekani turuhusu hao mashoga wafanikiwa na vijana wetu wa kiume watakoendeleza jina letu na kizazi chetu wakwame kufikia ndoto zao kwa hoja eti ni 'mabadiliko ya mfumo' hilo hatuwezi kuliruhusu.

Hatuwezi kuruhusu kuwa watumwa wa upepo wa mabadiliko unaoharibu maisha ya vijana wetu wa kiume au wa kike, never.
 
Napinga ukatili wa kijinsia kwa wanawake kwa nguvu zote ila 50/50 ni ngumu sana kwa sababu wanawake wanapenda kuonewa huruma !! Kitu ambacho kwa wanaume hakipo !!! Nnachokiona ni sheria tu zimewekwa kumbeba mwanamke na kumfanya aogopeke . Siku za mbeleni sana nnachoamini mwanamke ataogopeka sana ila haimaanishi ndo 50/50 wanaume watakua wanawakwepa wanawake kwenye sphere wanazoona zinaweza kuwaingiza matatani. Na haya mambo naona yako sana kwenye sexual harassment , imagine ukinusa nywele za mwanamke bila hiyari yake akikushtaki unakula mvua za maana.

50/50 ili iwepo sheria ziache kumbeba mwanamke mfano mambo ya viti maalumu , watolewe kwenye kundi maalumu (Special group) kule tubaki na watoto na wazee !! Ikizuka msala wote tunasonga mbele sio ladies first kwenye mambo mazuri tu tukutane na kwenye mabalaa !!

Vyombo vikubwa vya habari kama BBC na CNN viache kutangaza zile style za " huko nchini Yemen vita imezuka huku wahanga wakubwa wakiwa ni wanawake na watoto"

50/50
ili iende sawa waache kucrave attention mara nataka muda wako , mara hunijali , zile style za i'll be there for you zife ! weka moyo imara.

Haya yote watayafanikisha ila hawa watu huwa hawako Loyal kwa jinsia yao( ke na ke ) hapo ndo msala unapoishia Wanaume huwa tuko loyal ukipanga kitu na mtu huwa kugeukana na kusengenyana ni kidogo sana na issues za hivyo zikitokea haziathiri mpango kazi jambo litaenda tu.
Hapa unaongea kwa hisia zaidi kuliko uhalisia. Kwa sasa nchi nyingi suala la kujiunga jeshi na kwenda kupigana vitani ni hiyari. Lakini pia hata katika mataifa au nyakati ambapo ni lazima hata wanaume kutoka familia zenye ukwasi, vipaji au wanaoweza kufanikiwa kwa njia nyingine hukwepa kwenda vitani kwa visingizio mbalimbali kwa sababu kuuliwa vitani sio sifa au kitu cha heshima kwa binadamu wengine zaidi ya kujikusanyia ukwasi na kuishi maisha bora kwa migongo ya wengine.
 
me na ke kushabihiana

hakuna atakaekua juu ya mwenzake

gender roles zitabadilika na zingine kutoweka kutokana na mabadiliko ya kijamii, na kiteknolojia

itafika mahali hakuna kitu me anaweza mfanyia ke, ambacho ke hawezi mfanyia me, labda kuzalisha tu

kwa mtazamo wangu ni kitu kizuri
Umeongea vzr sana, wanaume wanaenda kupokonywa kila walichonacho
 
me na ke kushabihiana

hakuna atakaekua juu ya mwenzake

gender roles zitabadilika na zingine kutoweka kutokana na mabadiliko ya kijamii, na kiteknolojia

itafika mahali hakuna kitu me anaweza mfanyia ke, ambacho ke hawezi mfanyia me, labda kuzalisha tu

kwa mtazamo wangu ni kitu kizuri
Kiuhalisia hakuna kitu kama hicho katika jamii.

Hizi ni sera za feminists ambazo hazi work out kwenye uhalisia

Hata katika ngazi ya utawala hautakuwa na utawala bora ikiwa wote mna nguvu sawa.
 
Sio kupokonya ni kusawazisha😅

Sio kitu kibaya, nyie mnaingiza chuki binafsi
Na hilo ndio lengo la feminism

Lakini demu mwenye pesa wewe mwanaume huwezi kujimilikisha.

Hata mkiachana hauwezi kuwa na haki ya kudai fidia utaondoka na ndala zako.

50/50 kama mwanaume ana miliki mali na demu ni choka mbaya.

Mwanaume choka mbaya utakuwa una miliki 15 mbele ya demu mwenye hela
 
Huo mfumo wa 50/50 ni ndoto acha kuota vitu visivyo wezekana you know what wanawake na wanaume wapo tofauti sana hapa mfumo wa 50/50 hauwezekani kamwe

Wanawake wana pambana na upepo kwa sababu hawajitambui mfano mwepesi ni huyo Rais wenu kuingia madarakani akawa hajiamini amini na jinsia yake mpaka sasa jinsia yake anaiweka mbele mbele unaona kabisa kuwa huyu mtu hayupo sawa kichwani

Utamsikia oooh mimi ni mwanamke mara hivi , oooh mimi ni mama mara hivi, oooh mimi ni Rais na ni mwanamke, oooh msifikiri wanawake hawawezi crazy hii jinsia ina matatizo
 
Kiuhalisia hakuna kitu kama hicho katika jamii.

Hizi ni sera za feminists ambazo hazi work out kwenye uhalisia

Hata katika ngazi ya utawala hautakuwa na utawala bora ikiwa wote mna nguvu sawa.
Sasa ninachozungumzia kitatokea mbele sana baada ya feminism kufa.

Na ni kitu kitatokea chenyewe tu hakitolazimishwa.

Africa tupo kijadi sana najua wengi watanipinga.

Utawala wa kifamilia? Familia itakua na watawala wawili; me na ke, sio me pekee.
 
Na hilo ndio lengo la feminism

Lakini demu mwenye pesa wewe mwanaume huwezi kujimilikisha.

Hata mkiachana hauwezi kuwa na haki ya kudai fidia utaondoka na ndala zako.

50/50 kama mwanaume ana miliki mali na demu ni choka mbaya.

Mwanaume choka mbaya utakuwa una miliki 15 mbele ya demu mwenye hela
Kwenye hiyo utopian future ninayoizungumzia hatutokuwepo

Kwa sasa bado sana
 
Nimemsikia mmojawapo wa wachungaji wa KKKT akilalamika na kusikitika kuhusu wanawake wengi zaidi kuzidi kuimarika kiuchumi kiasi cha wanaume kushindwa kuwamudu. Ameenda mbali zaidi akiwataka waumini wake wanaume kwa wanawake kukemea roho hiyo ya aliyoiita ya Yezebel!

Huko Kenya mke wa makamu wa Rais ni mwanaharakati wa utetezi wa wanaume! Pia kumeibuka harakati kubwa za kinachoitwa kumpambania "boy child" kutoka kwa wanaharakati mbalimbali. Wapo pia wanaopiga kelele za kuongezeka kwa single mothers wakilaani na kulaumu mmomonyoko wa maadili wa wanawake kama chanzo kimojawapo.

Kinachokosekana kwa wengi wa wachungaji hawa wanaharakati wa boy child na raia wengine wengi kuhusu suala la usawa wa kijinsia kuzidi kuimarika na wanawake kuzidi kufanikiwa ni ukosefu wa maarifa ya kihistoria na evolution.

Kwa ufupi ni kwamba katika kipindi kirefu cha historia ya mwanadamu mafanikio makubwa ya kiuchumi, uongozi na jamii yalitegemea nguvu za misuli zaidi na aggressiveness ya mtu ila kadri muda ulivyoendelea mafanikio ya binadamu yamezidi kuegemea zaidi uwezo wa akili.

Pia kutokana na mambo na mazingira hayo kwa muda mrefu zaidi wanawake walikuwa wakitegema wanaume kwa ajili ya kupata mahitaji yao na hasa zaidi ya watoto wao hali iliyowafanya wakukubali kuwa chini ya dominance ya wanaume. Mazingira ya sasa yamebadilika sana na yanazidi kubadilika kutohitaji misuli na mabavu bali akili kwa ajili ya kupata mafanikio na mahitaji ya maisha na hii inapelekea mabadiliko makubwa ya usawa wa kijinsia kwa sababu binadamu wa jinsia zote wana kiwango sawa cha akili.

Wachungaji na wanaharakati wengine wa wanaume au "boy child" msihangaike kuwapigania watoto wa kiume hakuna conspiracy dhidi yao wanaume wala hakuna masuala yoyote ya kiroho, ni mabadiliko ya kimazingira na evolution inayoendelea kutokea taratibu vinavyoratibu huu usawa unaotishia nafasi ya mwanaume.

View: https://twitter.com/mshambuliaji/status/1755659295947948364?t=AGjT1tDwNaQBA-n0gmba5w&s=19
 
Ni kweli. Ajira na fursa nyingi wanawake wanapewa sababu ni cheap labour.

Tembea kwenye mabank ama makampuni makubwa yote tazama nafasi nyeti kama chief financial officer, accountant, head of internal audit zimeshikwa na watu wa jinsia gani ? Ndipo utaona nguvu ya wanawake

Mwanaume ukiwa na CPA huwezi shindana na mwanamke mwenye CPA . Popote mtakapogombania nafasi anapewa yeye.

Wanaume wanakuwa ma jobless kuwapisha wanawake
 
Hao macho madogo wenyewe walio host hiyo Beijing conference iliyo zalisha jamii ya wanawake wapumbavu zaidi hawana huo mfumo wa 50/50

Ila huku vinchi choka mbaya mnaforce 50/50 mpaka kwa wenye uongozi na watoa maamuzi ya maendeleo ya nchi eti wabunge wa viti maalumu crazy people
 
Sasa ninachozungumzia kitatokea mbele sana baada ya feminism kufa.

Na ni kitu kitatokea chenyewe tu hakitolazimishwa.

Africa tupo kijadi sana najua wengi watanipinga.

Utawala wa kifamilia? Familia itakua na watawala wawili; me na ke, sio me pekee.
Katika hao wawili nani mwenye sauti ya mwisho kwenye maamuzi?

Usiniambie wote

Mimi na wewe wote tunajua hilo haliwezekaniki
 
Hao macho madogo wenyewe walio host hiyo Beijing conference iliyo zalisha jamii ya wanawake wapumbavu zaidi hawana huo mfumo wa 50/50

Ila huku vinchi choka mbaya mnaforce 50/50 mpaka kwa wenye uongozi na watoa maamuzi ya maendeleo ya nchi eti wabunge wa viti maalumu crazy people
Huo msemo wa 50/50 ni hyperbole tu, hata mkiwa wanaume wote huwa hakuna 50/50, huwa kunakuwa na wanaume wenye nguvu zaidi za maamuzi. Hata timu za mpira za jinsia moja kiwanjani huwa hakuna 50/50.
 
Huo msemo wa 50/50 ni hyperbole tu, hata mkiwa wanaume wote huwa hakuna 50/50, huwa kunakuwa na wanaume wenye nguvu zaidi za maamuzi. Hata timu za mpira za jinsia moja kiwanjani huwa hakuna 50/50.
Kama hilo lipo basi utakubaliana na mimi kuwa mwanamke hawezi kuwa juu ya mwanaume at any scenario

Kwasababu hiyo ndio namna bora ya maisha ambayo asili ndio imeamua.

Mwanamke yuko limited kwa vitu vingi hatum-undermine bali asili ndio imeamua hivyo.
 
Back
Top Bottom