Mwaikibaki
JF-Expert Member
- Mar 19, 2015
- 2,981
- 3,639
Au sijaelewa, substance ya mtoa hoja ni ipi? Kuwa wanaomiliki vitu hivyo ni watu maskini ama waongeze bidii ya maendeleo au ? Au unacheua uliyokutana nayo huko unakojua?
Hahahh pole mkuu.. WamekufanyajeWanaume wa siku hizi ni moja ya viumbe wa hovyo sana sijapata kuona.
Wanaume wa kizazi hiki wakishavaa pensi na t-shirt zao za form six, wakimiliki simu mbili kubwa na funguo za IST basi anajiona maisha yote kamaliza, mbwembwe kibao kwenye mabar wakibugia serengeti lite, akili kichwani zero vitambi kama mimba za panya hakuna jambo lolote wanaloweza kuwaza nje ya box.
Badilikeni wanaume kumiliki vitakataka hivyo usijione wewe ndio konki basi kutwa kutongoza na kukumbatia wahudumu wa bar.
Nimerudi hizo ndio salamu zangu.
Mimi nina kijana wangu yupo kwenye 26 huwa anachukua ki Vista cha wife (mama yake) kwenda nacho bar nina uzoefu ndo maana nimeandika hivyo wacha uvuvuzela wakoWivu hakuna cha ukweli wowote waambie wazazi wako pia wanunue!
Hii kauli anaitumia Rasi Simba peke yake. Ni marufuku mwingine kuitumia.
Wanaume hatuelewi kirahisi rahisi acha tu aendelee kutoa darasa.
Loh!kama huwa hamuelewi tutapata tabu sana
Hivi Joanah, ukweli huwa unakusaidia nini
Wee dada ujue huwa nakufuatilia kimya kimya...Wasipoelewa hapa basi hawataelewa tena!!
Mtuombee tu mtumishi.
Wee dada ujue huwa nakufuatilia kimya kimya...
Ila leo imebidi nivunje ukimya
Hebu nianze rasmi kufunga kwa maombi
Umeamua sasa kumdhalilisha huku mitandaoni how stupid!.What kind of a father are you!Mimi nina kijana wangu yupo kwenye 26 huwa anachukua ki Vista cha wife (mama yake) kwenda nacho bar nina uzoefu ndo maana nimeandika hivyo wacha uvuvuzela wako
Keshaliwa!!!Ukiona manyoya
Wanaume wa siku hizi ni moja ya viumbe wa hovyo sana sijapata kuona.
Wanaume wa kizazi hiki wakishavaa pensi na t-shirt zao za form six, wakimiliki simu mbili kubwa na funguo za IST basi anajiona maisha yote kamaliza, mbwembwe kibao kwenye mabar wakibugia serengeti lite, akili kichwani zero vitambi kama mimba za panya hakuna jambo lolote wanaloweza kuwaza nje ya box.
Badilikeni wanaume kumiliki vitakataka hivyo usijione wewe ndio konki basi kutwa kutongoza na kukumbatia wahudumu wa bar.
Nimerudi hizo ndio salamu zangu.
Acha kutembea na watotoWanaume wa siku hizi ni moja ya viumbe wa hovyo sana sijapata kuona.
Wanaume wa kizazi hiki wakishavaa pensi na t-shirt zao za form six, wakimiliki simu mbili kubwa na funguo za IST basi anajiona maisha yote kamaliza, mbwembwe kibao kwenye mabar wakibugia serengeti lite, akili kichwani zero vitambi kama mimba za panya hakuna jambo lolote wanaloweza kuwaza nje ya box.
Badilikeni wanaume kumiliki vitakataka hivyo usijione wewe ndio konki basi kutwa kutongoza na kukumbatia wahudumu wa bar.
Nimerudi hizo ndio salamu zangu.