MKWEPA KODI
JF-Expert Member
- Nov 28, 2015
- 28,707
- 71,003
Hiyo ni asubuhi tunapata na chapati mbili tunashushia na juicesupu ya pweza na baga je?
Hiyo ni asubuhi tunapata na chapati mbili tunashushia na juicesupu ya pweza na baga je?
Ile supu iligundulika kuwa muuzaji huchemshia na ile viagra ya kidonge ya 1,500/=supu ya pweza na baga je?
Juice ya muwaHiyo ni asubuhi tunapata na chapati mbili tunashushia na juice
Sijachelewa sana, Smart911 uwe unanitag
Pesa wangeloa au kubebwa? Wenye PESA siwanaopita na matairi 4 ...Wanaume wa dar wana pesa kuliko wa mikoani ndio maana hawaoni kazi kuzitumia pesa zao kadri wanavyojisikia.
Mmh sawHiyo ni asubuhi tunapata na chapati mbili tunashushia na juice
Kumbe pweza haina ukweli wowte wa kuhusu kuongeza nguvu kweny kugegedana eee,kumbe wachemshaji wanatumia kaujanja kukuza biashara eeIle supu iligundulika kuwa muuzaji huchemshia na ile viagra ya kidonge ya 1,500/=
Ndio kawaida ya mabwabwa... wanapenda sana kuwafuatilia wanaume wenzao...Inaonekana mnawapenda wanaume wa dar
Kwa sabu ya kubebwa?Na ndio maana tukija mikoan asilimia kubwa tunavunja ndoa zenu
WanakeraNdio kawaida ya mabwabwa... wanapenda sana kuwafuatilia wanaume wenzao...
Dodoma yakiwa makaz rasmi ya Raishahaha hii vita sijui itaisha lini aisee
Rais gani ss?Dodoma yakiwa makaz rasmi ya Rais
Rais wa TanganyikaRais gani ss?
sawaRais wa Tanganyika