Gosbertgoodluck
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 2,855
- 401
Tafadhali akina dada mniwie radhi lakini jambo hili nimekutana nalo mara kadhaa na hata marafiki zangu wamenithibitishia kwamba ni kweli. Kwa ujumla, wanawake wakiwa 'wamekolea' huwa hawajitambui kiasi kwamba ukimuuliza uvae ile kinga au usitumie utasikia ama anaguna na hafanyi chochote au mwingine atakwambia kwa sauti ya chini kwamba uamuzi ni wako. Kinachobaki hapo ni busara na hekima ya mwanaume.
Najua baadhi ya akina dada watanishambulia hapa lakini nimeweka thread hii kwa lengo la kuwakumbusha wanaume wautumie uhuru huo vizuri ili kulinda wenzi wao. Inawezekana hayo ndiyo maumbile yetu ya asili.
Najua baadhi ya akina dada watanishambulia hapa lakini nimeweka thread hii kwa lengo la kuwakumbusha wanaume wautumie uhuru huo vizuri ili kulinda wenzi wao. Inawezekana hayo ndiyo maumbile yetu ya asili.